Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 743
Enzi hizo bei ya gazeti ni sh. 100
soda ilikuwa shilingi ngapi?kakakola?Chips yai ilikuwa 150
soda ilikuwa shilingi ngapi?kakakola?
soda ilikuwa shilingi ngapi?kakakola?
wakusoma tulkuwa tunalipa shilingi tano nauli,ubungo posta safarini forodhani
Nakumbuka christmas ya 1990 soda nilinunua shs 30 ,mwaka 1995 itakuwa zaidi ya hapo.