Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 741
wakati wa kuhutubia mahakama na kutoa hela nyingi kuboresha mahakama, magufuli alimtaka othman chande atumbue mahakimu wala rushwa na wasio na maadili. suala hili halijafanya kazi katika mahakama, hasa mahakimu mkazi na wilaya. pale mbeya kuna hakimu mmoja anaitwa MTEITE, ni hakimu mkuu wa mkoa wa mbeya.
- mtu huyu amekuwa akilalamikiwa sana na wananchi kwamba anakula rushwa na kuharibu kesi ambazo wananchi wameonewa.
- imethibitika kuwa anavuta bangi. hakimu mzima anavuta bangi na kila mtu anayemfahamu anaelewa hilo.
- uwezo wake kichwani kuelewa sheria ni mdogo, haelewi sheria. wanasheria wanaoappear kwake wamelalamika sana.
- juzi kulikuwa na mhasibu mmoja wanasema aliiba pesa Teofilo Kisanji, wanafunzi wakileta ada yeye anapeleka kwenye account yake, na vielelezo vyote TEKU wanasema vimepelekwa mahakamani na kesi iko wazi, yeye akapewa milioni 40,000,000 akamwachia mwizi bila sababu yeyote ya msingi. kwa wale wambao walishafanya kazi na TEKU au wana uhusiano walau mdogo na TEKU, jaribu kufuatilia hili jambo, liko wazi na limesambaa mbeya nzima. mwizi ameachiwa wazi wazi bila hata sababu za msingi kwasababu tu amechukua milioni arobaini. mwizi mwenyewe ameiba milioni 600ml ada za wanafunzi.