Msukuma ndo maana anawadharau Wahitimu wa vyuo vikuu, yani hata kujieleza tena kwa maandishi unashindwa. Yani unataka mtu aje akuuluze tena una shahada ya nini, umefanya kazi kwenye kampuni gani, katika nafasi gani na kwa miaka mingapi.
Kama haupo serious na vitu vinavyokuhusu huwezi kuwa...
Hata Hamza alipouwawa na polisi wananchi siku ile ile walichunguza na kusema alidhulumiwa madini, na wakalaumu polisi kwanini walimuua.
Ila yeye kuua askari 4 ilikuwa haina shida.
Nyerere hakutuachia utamaduni wa aina hii hata sijui tumeutoa wapi.Hivi sasa watumishi wa serikali yanapowafika...
Jitahidi ujue mwaka wa kuanzishwa jeshi la magereza
Majukumu ya jeshi la magereza
Kazi za askari magereza
Ujue kabla ya kuanzishwa jeshi la magereza ni jeshi gani lilikuwa linahifadhi wafungwa na mahabusu
Vyeo vya jeshi la magereza angalau kwa uchache
Uweze kulink Kati ya taaluma na vile...
Naungana na black fire Kama wewe sio fundi na hauna idea ya ufundi usiingie katika hii biashara utakuja kugeuka bubu.
Mafundi sio watu wazuri tena Kama wakijua wewe huna weledi na hiyo kazi
Naongea kwa uzoefu kwani mke wangu ni fundi.
Hata usome John Hopkins au Havard Kama huna watu wewe ni kiazi tu. Ngoja uhitimu utakuja kutulilia sisi maafisa ustawi tuliosomea mwalimu nyerere memorial , ukiomba angalau tukupe kazi ya kufundisha watoto wetu tuition ya PCM au PCB.
Suala la muda tu usije uchukia mchezo, chukia wachezaji.
Huyo Dimitri herard serikali ya Colombia inasema wiki chache kabla ya kifo Cha raisi alikuwa akiingia Colombia mara kwa mara. Kwahyo anacho Cha kuwaeleza serikali ya Haiti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.