Travis 1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 872
- 1,349
Bado upo kwa washua!?Jana nimesikiliza taarifa ya habari nikasikia hii kitu. Mzee wangu akaniangalia kwa mshangao akaniuliza "zima moto silaha za nini?"
Bi mkubwa akanisaidia kumjibu kwa kumuambia kuwa moto ni kitu cha hatari hivyo wanahitaji silaha ili kupambana nao.
Mimi nikadakia nikawaambia labda neno silaha lina tafsiri pana. Watuambie silaha wanazomaanisha ni silaha gani. Kwasababu zimamoto sioni mantiki ya wao kumiliki bunduki, mabomu, vifaru na aina nyingine ya silaha kama hizo.
Basi tukaendelea kula na habari ikawa inaendelea.