Leo tar. 1 august kata ya Lunguya wilaya Msalala mkoani Shinyanga imetokea ajari mbaya ya gari na kuua watu watatu hapohapo na wawili wamefia hospital ya kituo Cha afya Lunguya, chanzo Cha ajari inasemekana ni mwendokasi wa dereva.
My take: Barabara hii ya Kahama -Kakola ni mbaya sana karibia...
Soko naamini ni uhakika sababu sehemu hii( kata nzima hamna nguo za watoto wanafuata mjini almost km 60 kutoka hapa)
Kuhusu aina za nguo wengi wanapenda mpya kwa sababu ya usalama wa watoto
Hello JF members,
Mimi ni mwalimu na nina familia tayari hivyo kama mtu anataka kujipanua kibiashara huku mkoani nipo tayari kushirikiana naye Ili niwe msimamizi wake huku maana wife yupo kwa usimamizi maana hapa nilipo hakuna hio huduma.
Kama Kuna mfanyabiashara yupo tayari tunaweza tukafanya...
Ahsante sana mkuu nimefarijika sana , na hio ndo target yangu ndo maana katika siku chache zilizopita niliandika Uzi pia wa kuomba kwa mtu anayejua taasisi/organization ambayo inatoa ufadhili wa masomo Ili niweze kujiendeleza japo bado sijafanikiwa maana katika Hali niliyonayo kwa Sasa siwezi...
Mimi ni mwalimu na nina familia lakini maisha nayoishi kwa sasa ni heri ya mwanafunzi ila naamini Mungu yupo atanipigania.
Matatizo huja pale unapolemewa kuyatatua unawaza na unajikuta unaingia katika mikopo ambayo huipendi wala hukutarajia mwisho wa siku inakuwa ni mwiba, tena mwiba hasa.
Na...
Maisha haya tunapambana kadri tuwezavyo lakini katika kupambana huko tunajikuta ndo tunaanguka zaidi
Lengo la huu Uzi ni kutaka kusaidiwa shirika/NGO's/ mtu binafsi anayeweza nisaidia kulipa ada nimalizie masomo yangu
Kwa ambaye anajua au yupo katika hio organization anisaidie wakuu[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.