Hali ni tete

Hali ni tete

Hali yangu sio shwari. Kazi ndio hivyo najaribu kuomba hata vibarua lakini ni za manati.

Nasubiri tu vibarua vya kulima vikianza nijitose sina namna. Muda mwingine nakosa hata hela ya vocha kweli?

Najutia sana ile bidii niliyoweka huko kwenye elimu ningewekeza hata kwenye skills zingine ningekuwa mbali sana. Nakatiza mtaa au sometimes sitoki home kabisa.

Maana hata kampani yenyew ya vijana wenzangu hapa mtaa sio kabisa kutokana na matukio ya ulevi , wizi wa bike, bangi n.K.

Wanayo engage nayo Sikutegemea kwamba nitakuja kuishi maisha ya stress na dhiki kiasi hiki.

Simwombei mtu akose kazi maana joto lake nalionja. Na nishasema kuomba msaada kwa ndugu never.

Nimesimangwa sana kwa kweli inatosha.
Habari ningekuuliza umemaliza chuo lini? Umesomea nn? Upo mkoa gani? Je unachagua kazi au kazi yeyote...Unaweza kujibu au kama utashindwa kujibu, kindly DM/PM you CV kwangu, then tujaribu kupush...

Sikujui wala hunijui nimejiskia kukusaidia tu...muhimu ikitokea ukapata kazi unapaswa kuwa MUAMINIFU na MUADILIFU.
 
Habari ningekuuliza umemaliza chuo lini? Umesomea nn? Upo mkoa gani? Je unachagua kazi au kazi yeyote...Unaweza kujibu au kama utashindwa kujibu, kindly DM/PM you CV kwangu, then tujaribu kupush...

Sikujui wala hunijui nimejiskia kukusaidia tu...muhimu ikitokea ukapata kazi unapaswa kuwa MUAMINIFU na MUADILIFU.
 
Habari ningekuuliza umemaliza chuo lini? Umesomea nn? Upo mkoa gani? Je unachagua kazi au kazi yeyote...Unaweza kujibu au kama utashindwa kujibu, kindly DM/PM you CV kwangu, then tujaribu kupush...

Sikujui wala hunijui nimejiskia kukusaidia tu...muhimu ikitokea ukapata kazi unapaswa kuwa MUAMINIFU na MUADILIFU.
Shukrani mkuu japo kuna uzi nilifungua humu niliweka baadhi ya taarifa kunihusu. Chuo nimemaliza pale mwenge catholic university na bachelor ya geography and environmental studies
 
Shukrani mkuu japo kuna uzi nilifungua humu niliweka baadhi ya taarifa kunihusu. Chuo nimemaliza pale mwenge catholic university na bachelor ya geography and environmental studies
Je, hii ndio tuitumie kama CV kweli !?
Screenshot_20230731_214652.jpg
 
Pole Sana mkuu kwa Hali ngumu unazopitia.Muombe Mungu akufanyie wepesi Katika ishu zako.
 
Mkuu mtu kama wewe ndo wa kuja ulaya hasa Norway na Denmark. Tatizo waliopata iyo fursa hawapendi kufanya kazi. Kina kazi nyingii sana huku. Kuna dogo kaja huku mwaka jana yeye kulala. Mimi nina miaka 15 huku napiga mzigo sichagui kazi. Mwezi wa tano nilifanya kazi masaa 500. Dogo yani analala tu hela iko njenje. Kuna mzee ni besti yangu ana gerej toka 1970s anatoa vibarua na kukulipa cash in hand baada ya kazi kama elfu 70-80 kwa saa. Dogo nikampeleka kufanya yani masaa mawili tu kachoka anatoroka anaenda kulala. Halafu mizinga sasa ameanza kuishi kijanja visa ilishaisha.
Mkuu mtu kama wewe ndo wa kuja ulaya hasa Norway na Denmark. Tatizo waliopata iyo fursa hawapendi kufanya kazi. Kina kazi nyingii sana huku. Kuna dogo kaja huku mwaka jana yeye kulala. Mimi nina miaka 15 huku napiga mzigo sichagui kazi. Mwezi wa tano nilifanya kazi masaa 500. Dogo yani analala tu hela iko njenje. Kuna mzee ni besti yangu ana gerej toka 1970s anatoa vibarua na kukulipa cash in hand baada ya kazi kama elfu 70-80 kwa saa. Dogo nikampeleka kufanya yani masaa mawili tu kachoka anatoroka anaenda kulala. Halafu mizinga sasa ameanza kuishi kijanja visa ilishaisha.
mkuu Kuna kazi umeitaja hapo ninaiweza viziri sana.sema umefunga pm kunakitu nilitaka nikuulize
 
Huwaga yanapita,ila uwe na mvimilivu tu maana inaweza chukua muda mrefu kupitia hapo...Ila kumbuka hapo ndio unatengenezwa kuwa Bora zaidi.

Hapo ndio unajifunza watu sahihi kwako, hapo ndio unatengenezwa kuheshimu kila mtu, hapo ndio unatengezwa kuwa hard worker.

usichoke kupapasia,fanya kama upo kwenye chumba chenye giza endelea kupapasa utakutana na ufa siku Moja unaingiza mwanga,hiyo ndio break through yako....Yesu akutunze
Mmh, dada hakika kaongea hapa mtoa mada!!
 
Mkuu nakuelewa sana kimsingi hali ya maisha mtaani sio nzuri kimsingi day after day hali inakuwa ngumu.. asilimia kubwa wengi wetu tuko vibaya matarajio na uhalisia vimekuwa kama mbingu na ardhi. myself kuna time naona maisha ni kama yanakosa maana ila siku nikiokota maokoto naona maisha ni raha.

Sema keep hustling mzee you never know anything can happen.
 
Wakuu kwema hapa. Mdau atakaenisevu hata 10k ya ku survive hii wiki hadi ijumaa kwenye maswala ya mlo atakuwa amenihelp sana. Imebidi nipambane nikapata kazi ya kupanga mbao kwenye kiwanda kimoja na kuzoa saw dust malipo 25k per week .Pay day ni jumamosi kwa jmamosi ila sio mbaya kuliko kukaa bila kazi wadau. Namba 0766424569
 
Back
Top Bottom