Leo tar. 1 august kata ya Lunguya wilaya Msalala mkoani Shinyanga imetokea ajari mbaya ya gari na kuua watu watatu hapohapo na wawili wamefia hospital ya kituo Cha afya Lunguya, chanzo Cha ajari inasemekana ni mwendokasi wa dereva.
My take: Barabara hii ya Kahama -Kakola ni mbaya sana karibia Kila siku ni ajari tu na itaua wengi wasipochukua hatua
My take: Barabara hii ya Kahama -Kakola ni mbaya sana karibia Kila siku ni ajari tu na itaua wengi wasipochukua hatua