mkuucnafikiri hili swala sio la kuiachia chadema kwa sababu ya jimbo hili liko chini yake!
serkali kwa ujumla wake walishughulikie hili kwa pamoja jiji litakua safi
Kheri Jf!
Nimepata kufika jijini Arusha kikazi kwa muda wa siku 5 tu, leo siku ya tatu yaaani kero kubwa kwa watumiaji wa usafiri wa umma (daladala) jijini hapa ni katika kituo kidogo cha daladala kilombero kilichopo katikati ya jiji.
Kiukweli wale vijana wapiga debe ni kero kubwa, yaani mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.