Mapenzi mbashara ya clouds media na kukosa mvuto

Mapenzi mbashara ya clouds media na kukosa mvuto

Tangazo kwa kuangalia "uhuru wa kimaadili wa wasikilizaji" limekaa ovyo!

'Mubashara' neno hili lina kilobytes ngapi na 'live' lina kilobytes ngapi?
Na je origin ya hayo maneno ni lugha zipi? Kama ni kukuza kiswahili ni lazima tuzingatie gharama za kutunza na ku_retrieve maneno yenyewe!

Live ni Live tu
 
...Huu ni mtazamo potofu sanaaa, halafu unawezaje kujua status ya kikazi au kiuchumi ya mtu anayepost hapa? Hapa Tanzania mijini na vijijini kuna watu wengi tuu masikini, na hata milo 2 kwa siku ni ishu je nao unawaweka kwenye gunia lako kuwa ni negative always?? Haya Trump si ni bilionea? na amekuwa rais je yeye ni positive always?
Kunywa maji ba's maana povu lakutoka kama vile ndo mtoa post
Wapeni ajira jamani maana hasira zao zinatuua uku.
 
Yani mnalalamikia vitu mnavyovipenda maana kama mngekuwa hampendi yanayoendelea clouds msingekuwa mnawasikiliza kama ambavyo uwa mnadai na msingekuwa mnafungua threads daily zinazowahusu kwakuwa msingekuwa na habari ya yanayoendelea.
lakini daily mnasema hamuwasikilizi ila kila siku mnawalalamikia ikiwa ina maana mnawasikiliza sana na mnapenda isikiliza mawingu
 
Nasema ukweli ukweli tupu clauds kusikiliza ni bora nisikize hata tbc FM kidogo dijaro ananoga
 
Nmekuwa mfuatiliaji wa kawaida tu wa vipindi vinavyorushwa na clouds tv na clouds fm.
imekua kawaida yao kila wanalolileta huchukua muda mfupi kukubalika na kucapture attention kubwa toka kwa vijana na jamii kwa ujumla kama vile kipepeo, malkia wa nguvu nk

Lakini kwa muono wangu tofauti naona hii ya mapenzi mubashara imebuma japo wanajaribu kutumia nguvu kubwa kuipush lakini kiukweli haina mvuto!

Halafu sioni umuhimu wake kwa kizazi hiki kinachotakiwa kufikiria maendeleo kufikia tanzania ya viwanda na uchumi wa kati,
clouds mbadilike kwa kweli kwani jamii inamambo mengi ya kushupalia na kujadili kwa kina kuliko hiyo mapenzi mubashara,
pia inaongeza amasa kwa vijana na watoto wadogo kuanza kujihusisha na masuala haya hatari kwa ustawi wa taifa!

Shame on you clouds
Peleka malalamiko TCRA. Tuko wengi wenye plan hizo!
 
We mwenyewe unaebisha na kulalama oooh sijui clouds wamefanyaje, wewe hapo umetokana na mapenzi sa sijui tatizo liko wapi.

Hicho ni kitu kiko kwenye maisha yetu ya kila siku usikute wewe hapo hata wiki haijaisha tangu uzini
Whatever. Kwa kifupi hiyo radio haina maadili. Inaendeshwa hovyo hovyo na wenyewe wanasema you just wing it. Vitu vingi spontaneous.
 
Back
Top Bottom