Hivi maana halisi ya ndoa ni nini!

Hivi maana halisi ya ndoa ni nini!

0314b80368bd7a78622ea7ce23a9bdf4.jpg


Maana halisi ya ndoa ni hii.
Hakuna kingine mkuu.
 
Aliyesema ndoa ndo vita pekee ambayo maadui wanashea kila kitu hakukosea.
Hivi nyie ambao ndoa zenu zina mhili mzuri na zinadumu huwa mnatumia mbinu gani mnisaidie na mimi mwenzenu!
Ni kupika kiumbwee kingii
 
Aliyesema ndoa ndo vita pekee ambayo maadui wanashea kila kitu hakukosea.
Hivi nyie ambao ndoa zenu zina mhili mzuri na zinadumu huwa mnatumia mbinu gani mnisaidie na mimi mwenzenu!


Ndoa inakuwa tamu pale nyote mnapokuwa na mapenzi ya dhati....kama mmoja wenu atatoka nje ya ndoa na kuona raha iliyopo huko basi juwa atakuwa anaona adhabu kuishi na wewe. Ndipo vituko na machungu ya ndoa uanzia hapa. Baada ya kusihi kwa raha, mnaanza kuogopana na kushindana kulala nje ama kuchelewa kurudi nyumbani ili tu aliyewahi kurudi umkute kalala.
 
Ndoa hakuna bali ni ujanja ujanja kutimiza wajibu, Huwezi tosheka ndani ya ndoa kuna mtu ukionja utakumbuka uliyenaye sio kitu chochote, Wengi huishia kuchepuka ndoa kwa kifupi ni usanii tu Just watu kuonekana wana family, Lakini nje ya ndoa kuna vitu vitamu na vinajua mambo, ndani kuna muda mnachokana
Kwahiyo wewe unaenjoy nje zaidi kuliko kwamkeo?
 
Aliyesema ndoa ndo vita pekee ambayo maadui wanashea kila kitu hakukosea.
Hivi nyie ambao ndoa zenu zina mhili mzuri na zinadumu huwa mnatumia mbinu gani mnisaidie na mimi mwenzenu!
Ndoa zote zinachangamoto ndugu inawezekana tena yako hikawa haina changamoto sana ukisikiliza changamoto za wenzio chamsingi Kama umeshaingia ktk ndoa kua mvumilivu tu, yatapiza.
 
Tatizo wwke wa sku hizi wanaenda kinyume na mungu kutoa mamlaka yote ya utawala wa nyumba na familly kwa wanaume,wanadanganyana tunalingana na hapo migogoro inaanza!Ni lazima mmoja kuwa up na mwingine down ili mambo yaende fresh
 
u weren't prepared for marriage life bro......
 
Aliyesema ndoa ndo vita pekee ambayo maadui wanashea kila kitu hakukosea.
Hivi nyie ambao ndoa zenu zina mhili mzuri na zinadumu huwa mnatumia mbinu gani mnisaidie na mimi mwenzenu!
Siri ni kwamba kwenye hii vita mbinu ni moja tuu mmoja wenu amuwahi mwenzake kumloga na hasa hasa mwanaume mloge mkeo haraka haraka kipindi kile cha hani muni,


Ukimloga unakua umejikatia kibali cha kumuweka kwenye mwelekeo wa mawazo yako kam baba wa familia

Lakini ukaendekeza haki sawa umeumia loga ndugu logaaaaaaaa........
 
Tafadhari Sky, naomba hiyo vita anayoizungumzia mtoa mada nishiriki na wewe..!
Huwa ni vita salama..
Kwa mara ya kwanza naona adui anaomba vita.

We chokozaaa tuuuuu uone moto wake
 
Ndoa ni taasisis aliyoiasisi Mungu mwenyewe,,,,, na akaweka misingi ya kuidumisha,,, na ndoo maana alisema,,, sii vyema mtu huyu aishi peke yake,,, nitamfanyia msaidizi wa kufanana nae,,,,
Jichanganye umwambie mwanamke wa aiku hizi eti ni msaidizi ndoo utauona moto wa ndoa
 
Aliyesema ndoa ndo vita pekee ambayo maadui wanashea kila kitu hakukosea.
Hivi nyie ambao ndoa zenu zina mhili mzuri na zinadumu huwa mnatumia mbinu gani mnisaidie na mimi mwenzenu!
Ndoa ni jela ya hiyari, walionjee wanatamani kuingia, waliondani wanatamani kutoka.
 
Jichanganye umwambie mwanamke wa aiku hizi eti ni msaidizi ndoo utauona moto wa ndoa
Taasisi ya ndoa kuvamiwa na ibilisi na kuleta uharibifu, haina maana kuwa alichosema Mungu haipo,,,bado mwanamke ni msaidizi kama alivyosema Mungu,,, na ataendelea kuwa hivyo hata kama kwa wengine haiwi hivyo,,hakuna sehemu yenye raha na furaha kama kwenye ndoa,,,,,
 
Let .me start with definition
Ndoa ni muunganiko wa kihalali kati ya mwanamke na mwanaume kwa nia na madhumuni wa kuanzisha familia na kwenye ndoa utemi unahitajika ikibidi na busara pia inahitajika
 
Kwahiyo wewe unaenjoy nje zaidi kuliko kwamkeo?
Hivi kweli mtu unatoka kwenda kupiga nje demu ambaye hujui masaa machache yaliyopita alikua analamba dushe la nani. Unamuacha mke wako ndani yuko salama na msafi unaenda kufakamia bacteria nje. Wanaume wenzangu tujalini afya zenu. Wanawake wengi wa nje si salama kwa matumizi.
 
Siri ni kwamba kwenye hii vita mbinu ni moja tuu mmoja wenu amuwahi mwenzake kumloga na hasa hasa mwanaume mloge mkeo haraka haraka kipindi kile cha hani muni,


Ukimloga unakua umejikatia kibali cha kumuweka kwenye mwelekeo wa mawazo yako kam baba wa familia

Lakini ukaendekeza haki sawa umeumia loga ndugu logaaaaaaaa........
Mbinu hii ya kuwahiana ntaifanyia kaz mapema
 
Ndoa ni kama singeli ukiweza kucheza singeli ndoa haitakusumbua,angalia sana nyimbo za singeli
 
Hivi kweli mtu unatoka kwenda kupiga nje demu ambaye hujui masaa machache yaliyopita alikua analamba dushe la nani. Unamuacha mke wako ndani yuko salama na msafi unaenda kufakamia bacteria nje. Wanaume wenzangu tujalini afya zenu. Wanawake wengi wa nje si salama kwa matumizi.
Nimekupenda bure tu
 
nimeipenda ID ya mleta uzi anaitwa kitalolo: hahahahaha wachaga wanajua mchanganyiko wa kutengeneza chakula cha KITALOLO tehe tehe tehe tehe
 
Back
Top Bottom