kweli,baraza hilo ni kubwa sana kwa Zanzibar.Nafkiri still hatuna mikakati ya kuleta maendeleo. Just tuna tengeneza ajira tu. Nchi kama Ufaransa ina mawaziri 6 tu.Leo zanzibar ya wapiga kura laki nne ina wabunge zaidi ya 50 nafkiri, wawakilishi kibao, mawaziri 16..........hadi mifugo imeundiwa...