Tatizo la CHADEMA Igunga ni Mgombea

Tatizo la CHADEMA Igunga ni Mgombea

Kila ninapopita tarafa zote nne igurubi, choma, simbo na igunga mjini. Kila unapofika katika mikusanyiko ya watu wengi wanamtoa kasoro mgombea wa CHADEMA Joseph Kashindye kuwa ni mzito wa kuongea wengine wanasema ni mzee huku wakimwagia sifa mgombea wa CUF Leopold Mahona kuwa sera zake zinatekelezeka na anajua kulimiliki jukwaa pia ni kijana mdogo, ambaye amezaliwa tarafa ya SIMBO. <br />
<br />
Kinyume na mgombea wa CHADEMA ambaye wanasema alitokea Sengerema MWANZA na alikuja kama mwalimu na baadaye kupanda ngazi na kuwa Mratibu wa Elimu wilayani Igunga. Mtoaji wa habari hizi ni mmoja wa timu za kampeni zilizoko huku Igunga.
<br />
<br />Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap! Ova!
 
Wanataka kuongeza watu wa kupiga makofi na kugonga meza bungeni! CCM bwana kazi tunayo watanzania, du mzigo huu CCM siku tutakapoutua chini tutapumua
 
Kila ninapopita tarafa zote nne igurubi, choma, simbo na igunga mjini. Kila unapofika katika mikusanyiko ya watu wengi wanamtoa kasoro mgombea wa CHADEMA Joseph Kashindye kuwa ni mzito wa kuongea wengine wanasema ni mzee huku wakimwagia sifa mgombea wa CUF Leopold Mahona kuwa sera zake zinatekelezeka na anajua kulimiliki jukwaa pia ni kijana mdogo, ambaye amezaliwa tarafa ya SIMBO.

Kinyume na mgombea wa CHADEMA ambaye wanasema alitokea Sengerema MWANZA na alikuja kama mwalimu na baadaye kupanda ngazi na kuwa Mratibu wa Elimu wilayani Igunga. Mtoaji wa habari hizi ni mmoja wa timu za kampeni zilizoko huku Igunga.

chadema, hii tip si ya kuipinga bali ya kuifanyia kazi....you have got some intelligent people ndani ya chama wanaoweza kukokotoa mambo kwenye 3 dimensions.

intelligent people have got all what it takes to convert weaknesses into strengths and win the election....do it!!
 
siasa za makabila zinainyemelea Tanzania
 
Sikujua Rostum Aziz ni CUF. Maana ndiye aliyekuwa akishinda Igunga, jimbo la CUF.
<br />
<br />

Mkuu utakuwa umesahau tu. Si unafahamu kuwa wana ndoa ya kiserikali na kibunge?
 
hili ndilo tatizo letu watanzania. tunashawishika kirahisi na maneno na mbwembwe za wagombea. wanaoongea vizuri wametusaidia nini? hatuwezi kuangalia rekodi za utendaji za wagombea ktk nafasi zao walizowahi kuzishika?
Kila ninapopita tarafa zote nne igurubi, choma, simbo na igunga mjini. Kila unapofika katika mikusanyiko ya watu wengi wanamtoa kasoro mgombea wa CHADEMA Joseph Kashindye kuwa ni mzito wa kuongea wengine wanasema ni mzee huku wakimwagia sifa mgombea wa CUF Leopold Mahona kuwa sera zake zinatekelezeka na anajua kulimiliki jukwaa pia ni kijana mdogo, ambaye amezaliwa tarafa ya SIMBO.

Kinyume na mgombea wa CHADEMA ambaye wanasema alitokea Sengerema MWANZA na alikuja kama mwalimu na baadaye kupanda ngazi na kuwa Mratibu wa Elimu wilayani Igunga. Mtoaji wa habari hizi ni mmoja wa timu za kampeni zilizoko huku Igunga.
 
Kila ninapopita tarafa zote nne igurubi, choma, simbo na igunga mjini. Kila unapofika katika mikusanyiko ya watu wengi wanamtoa kasoro mgombea wa CHADEMA Joseph Kashindye kuwa ni mzito wa kuongea wengine wanasema ni mzee huku wakimwagia sifa mgombea wa CUF Leopold Mahona kuwa sera zake zinatekelezeka na anajua kulimiliki jukwaa pia ni kijana mdogo, ambaye amezaliwa tarafa ya SIMBO. <br />
<br />
Kinyume na mgombea wa CHADEMA ambaye wanasema alitokea Sengerema MWANZA na alikuja kama mwalimu na baadaye kupanda ngazi na kuwa Mratibu wa Elimu wilayani Igunga. Mtoaji wa habari hizi ni mmoja wa timu za kampeni zilizoko huku Igunga.
usiwe bweg.e ww, Mnyika ni mbunge wa ubungo kwan ni mzaliwa wa Dar?
 
Yale yale ya ukabila na ukanda!
Itawatafuna hii kitu, mliianzisha wenyewe.

Kila ninapopita tarafa zote nne igurubi, choma, simbo na igunga mjini. Kila unapofika katika mikusanyiko ya watu wengi wanamtoa kasoro mgombea wa CHADEMA Joseph Kashindye kuwa ni mzito wa kuongea wengine wanasema ni mzee huku wakimwagia sifa mgombea wa CUF Leopold Mahona kuwa sera zake zinatekelezeka na anajua kulimiliki jukwaa pia ni kijana mdogo, ambaye amezaliwa tarafa ya SIMBO. <br />
<br />
Kinyume na mgombea wa CHADEMA ambaye wanasema alitokea Sengerema MWANZA na alikuja kama mwalimu na baadaye kupanda ngazi na kuwa Mratibu wa Elimu wilayani Igunga. Mtoaji wa habari hizi ni mmoja wa timu za kampeni zilizoko huku Igunga.
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom