Elections 2010 Tubashiri: Baraza la Mawaziri la JK Awamu ya Pili

Zero One Two

JF-Expert Member
Sep 16, 2007
9,347
3,011
Kuna jipya? Kuna sura za kuboa kama ilivyokuwa? Nani PM? Size ya baraza je? Binafsi sitarajii jipya kabisa.
 

grandpa

Senior Member
Aug 24, 2008
185
4
Salma Kikwete waziri wa matandikio yote ya vyumbani (yaani kukagua ka shuka zote kitandani ni safi au chafu). Ridhiwani Kikwete waziri wa kutunga mizengwe na kuchakachua uchaguzi. Miraji Kikwete waziri wa mawasiliano na kuvuta bhangi, cocaine & all illicit drugs. January Makamba aka Ernesto Sheka waziri wa majungu na utumbo. Rashid Shamte waziri wa kutuma sms za kipuuzi
 

ROBINHO

Member
Nov 5, 2010
10
0
Utasikia Kingunge Wizara ya Michezo, Makamba-Fedha, January-Elimu, Lowasa-Mambo ya Nje, ..... .....!!!
 

kanyagio

JF-Expert Member
Dec 10, 2009
1,021
364
wala mimi sihitaji masuala ya baraza la mawaziri.. wakati mtu kaiba.. anatakiwa aondoke!!!

hata hivyo akiapishwa na kuunda baraza la mawaziri lisilo imara... utasikia watanzania wanalalamika wakati ni hao hao walikuwa wanavaa nguo za kijani na manjano!!! shame to them!!
 

Vitendo

JF-Expert Member
Oct 23, 2009
582
103
Acha mambo ya sheik Yahaya wewe,nani anafanya kazi ya KUBASHIRI HAPA!!!!!!!!!!
 

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,738
4,997
akuna jipya baraza ni lile lile mafedhuli ni wale wale wakina masha na wenzake..dont think much abt this stpd gov
 

Mopalmo

JF-Expert Member
Nov 11, 2010
533
137
Samweli sita hatakosekana,ili kupunguza mtizamo kwamba wamemtupilia mbali nafasi ya uspika kwa sababu ya msimamo wake dhidi ya ufisadi alipokua spika,ila watampa wizara isiyokua maarufu
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom