Elections 2010 CONFIRMED: Lema atangazwa rasmi kuwa mbunge wa Arusha mjini

lEMA AGEKUBALI UJINGA WA HELA MAISHA YAKE YANEGKUWA NUSU MLONGOTI. ILE NI ARUSHA JAMA. WALISHACHOKA YULE MREMA KUWEPO BILA MAFANIKIO. DR BATILDA ALIENDA SOKONI KWA AKINA MAMA WAKAMKIMBIA LEO USEME ETI BATILDA APEWE UBUNGE HATA WA KULAZIMISHWA. AKINA MAMA WANGEVUA NGUO PALE ARS. PIA LOWASA AMEINGIA MANISPA YA ARUSHA AMEZOMEWA KAMA MWIZI.
 
Muda mfupi uliopita Peoples Power wametawanywa kwa mabomu ya mavhozi, naona vijana wengi mikono iko kwenye paji la uso
 
Matokeo rasm....... Chadema yachukua Arusha Mjini, Buriani aangukia pua.....................ITV inatangaza sasa
 
Sasa nimeamini kuwa Lema ndiye mbunge wetu kule Arusha Mjini. Hii ni kwa mujibu wa Mwanaidi Mkwizu wa ITV. Hongera Lema.
Wanaosema wewe mhuni wanatukana wapiga kura wa Arusha. Mapinduzi daimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Lema tayari mbunge, ndo tunashangilia ushindi hapa.

Kura:

CHADEMA: 56,000+
CCM: 36,000+

Peopleeeeeeeeeeeeee's Power.


Hutana shaka....ushahidi sasa hivi ni wazi

Chadema ---- 56561
CCM-----------37460

Ndiyo figure kamili...
 
Ni ukweli matangazo hayo yamerushwa live kupitia Staa Tv, kifupi Arusha hali ni shwari baada ya matokeo hayo.
 
Kwa wingi wa kura alizompita Bw. Lema, nadhani ilikuwa vigumu sana kuchakachua. Lema amepata about 55,000 kuras wakati mdada wa kizenji amepata 37,000. Utaiba kura ngapi!?
 
Lema mwenyewe mnayetaka kumpigania ni muhuni na tapeli tu. Kama tungefanya intavyuu kati ya Buriani na Lema, kila mtu mwenye akili timamu angemchagua Dr. Buriani. This is where democracy got it wrong. Ideological na ushabiki gets in commonsense.

Yule profesa wa Ulanga (chadema), hata mimi CCM damu, lakini namkubali kuingia bungeni koz it will make it better, kuliko hata mdau wa CCM. Sasa huyu muhuni Lema, anatuwekea jiji letu la bata (A-town) katika roho juu juu. Kazi yenyewe ya ubunge he is unqualified.

Wewe wasema Lema ni muhuni na tapeli. Hayo ni maoni yako, katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inakuruhusu. Lakini watu wa Arusha si wajinga kama unavyofikiria. Wamemchagua kwa kufuata taratibu zote za kidemokrasia. sasa wewe unataka Buriani atangazwe mshindi kwa kuwa unafikiri Lema ni muhuni? Hiyo demokrasia ya wapi?
 
:israel:Arusha Mjini Sasa ni Mali ya Chadema. CCM pamoja na kuchelewesha matokeo kwa muda mrefu lakini wameshindwa kuchakachua matokeo na ushindi umeenda kwa LEMA moja kwa moja. Pole sana Batilda Now ni muda muafaka wa kuangalia familia yako.:israel:
 
Arusha imelipuka kwa furaha kinachosikika sasa ni mayowe ya furaha na honi za magari.Huyu mama aliwahi kutamka ktk moja ya kampeni zake kuwa watu wa Arusha mtake msitake mi ndio mbunge wenu" kiko wapi sasa?

Kwa CCM hizo ni kauli za kawaida. Wajue kuwa ule muda wa kutisha wananchi umekwisha
 
Mwanaidi Mkwizu wa ITV ametangaza kuwa Lema amepata kura zaidi ya 56000 na Batilda zaidi ya 37000. Hivyo Lema ndiyo mbunge mteule wa Arusha Mjini.
 
Back
Top Bottom