Ninakipenda sana Chama cha Mapinduzi ila ninaudhiwa na tabia za kishenzi za viongozi ambao hawasomi alama za nyakati, kwa wakati huu tumeshinda ila kipindi kijacho tutakuwa na hali mbaya sana, kwa ujumla nawapongeza Chadema ila najua kwa kiasi chochote mnachoshinda, ni kwa uzembe, ubinafsi na upofu uliokithiri wa viongozi wa CCM! Inauma sana kwa chama kizuri kama CCM kushabikia uzishi badala ya kuwa na mikakati inayoeleweka wenye ukweli wa mambo, kuna tatizo gani ukisema tumekosea hapa, tunahitaji marekebisho hapa, wewe unachofanya si sahihi na ni kinyume cha chama. Hebu fikiria chama chenye vissions na mipango mizuri katika karatasi, halafu kinakuwa na viongozi 'wendawazimu' wanaolindwa na 'huyu ni kada wetu' wakihubiri wasiyoyaamini hata kidogo, wakiwazodoa hata wale wenye mawazo mazuri mbno kwa maendeleo ya nchi yetu... na kuwachukia wale wanaokikosoa Chama eti ni 'wasaliti'.... Tunahitaji mtu kama 'Nyerere' ambaye Ushujaa wake umekuja kwa kuwa na tabia ya kuona'yes jambo hili ingawa limeelezwa nna wapinzani ni wazo zuri, kwanini tulazimishe kukosoa wakati wazo linaonekanma kuwa bora kabis akwa maendeleo yetu....' ... '.. Tulivyowaza vile tulidhani tuko sahihi kabisa kabisa kumbe tulikuwa tumekosea kabisa, sasa tunapaswa kujipanga upya na kujikosoa na kurekebisha tukijifunza kwa haya.......'
you mean the kilimanjaro rc, monica mbega amefanywa mbaya na chadema?? Very good.
naomba nitajie jina la huyo mbunge mteule wa chadema aliyemvuruga huyo mwanamke aliyepewa nafasi kwa upeneleo.
Matokeo ya iringa tayari rasmi Chadema yatamba town