Recent content by tutunfyekyela

  1. T

    Mtaka umesifiwa mbio mpaka umepapita kwenu.

    Mtaka,mtaka,mtaka mwenye hekalu lake huko majita/suguti ngoja nkuache tu mkuu wa nkoa
  2. T

    Msaada: Mwanangu anatokwa na vipele vingi sana

    Tafuta ukwaju(asilia siyo ule wa azam) loweka uwe unamnywesha mara kwa mara ndani ya siku tatu lete mrejesho hapa.
  3. T

    Tofauti kati ya mwanaume na mwanamke

    Mbona hujasema mwanaume anaweza kuwa bar huku anakunywa bia wakati huo huo anapiga stori za mademu/anaangalia mademu hiyo si ni multitask pia,anagonga bia,huku anachati afu anaangalia pisi kali
  4. T

    Nataka kuhamia Nacte au Wizara ya Elimu ili nitoke Tamisemi

    Ungekua unalipwa Salary ya TGTS G ningekushauri uombe uende idara ya uthibiti ubora wa shule ambayo iko wizara ya elimu japo mshahara utabaki kuwa ule ule na hakuna posho kama unayopata saiv uliko.
  5. T

    Google pixel na kamera kali

    Hivi ukikosa ifoni mtoto wa kiume unatafunaje dadaz?? Nunueni ifoni aisee totoz unatafuna kama una toyota raum
  6. T

    Chonde chonde mtumishi au mjasiriamali, usikope Bayport kabisa, ni wahuni na matapeli

    Ongeza na platnum ya yule bwana alojua mkurugenzi wa nyumba nyeupe enzi za JK
  7. T

    Kabati na washing machine vinauzwa

    Vyote nkupatie laki 7 mkuu,kama upo tayari ntume mtu aje akague sasa hivi avichukue anitumie huku Ipinda
  8. T

    Pombe na Wanawake ni Sababu ya kutoendelea Kwa wanaume wengi

    Kuna watu twapiga pombe na hizo mwanamke lakini maendeleo tuliyo nayo huwezi linganisha na babako mdogo🤣🤣🤣
Back
Top Bottom