Mbona hujasema mwanaume anaweza kuwa bar huku anakunywa bia wakati huo huo anapiga stori za mademu/anaangalia mademu hiyo si ni multitask pia,anagonga bia,huku anachati afu anaangalia pisi kali
Ungekua unalipwa Salary ya TGTS G ningekushauri uombe uende idara ya uthibiti ubora wa shule ambayo iko wizara ya elimu japo mshahara utabaki kuwa ule ule na hakuna posho kama unayopata saiv uliko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.