slmnd
Member
- Dec 12, 2023
- 46
- 82
Habari Wana JF,
Naomba msaada Mwanangu anatokwa na vipele vingi sana na vinazidi kuenea mwili mzima (vidogo vidogo) mpaka anakuwa mwekundu kwa kujikuna mara kwa mara.
Nilienda pharmacy walinipa Calamine lotion nikawa nampaka lakini bado ,nilienda hospital walimpima mchafuko wa damu , lakini damu iko safi na walinipa silverex ambayo nimetumia kwa wiki sasa lakini bado pia.
Naomba msaada
Naomba msaada Mwanangu anatokwa na vipele vingi sana na vinazidi kuenea mwili mzima (vidogo vidogo) mpaka anakuwa mwekundu kwa kujikuna mara kwa mara.
Nilienda pharmacy walinipa Calamine lotion nikawa nampaka lakini bado ,nilienda hospital walimpima mchafuko wa damu , lakini damu iko safi na walinipa silverex ambayo nimetumia kwa wiki sasa lakini bado pia.
Naomba msaada