Nyumba ya kisasa kabisa inapangishwa kwa bei nafuu kabisa, ina vyumba Vitatu vya kulala, dinning, sitting room, kitchen pamoja na uzio.Ipo JET-LUMO(Mwisho wa lami).
Kwa anayehitaji apige simu namba 0714 94 60 10.
Ladies and Gentlemen.
Kama kuna yeyote ambaye ana Cheti kwa ngazi ya Certificate katika fani tajwa hapo juu tafadhali tuwasiliane kuna kazi ila itakuwa Part time na ni kwa Dar es salaam tu.
Umri uwe kati ya Miaka 18 - 30.
Kuhusu masuala ya Malipo ni makubaliano tutazungumza ana kwa ana in a win...
Hoja yako haina mashiko.wewe kwa akili ya kawaida kabisa ya kuvukia bara bara unaweza kumfananisha Mel Gibson na wasanii wa bongo,Acha masihara.Unakuna pale mkono unapofika na ukimwiga tembo utapasuka msamba.
Kaka timu haipangwi ili kujaza nafasi 11 zinazotakiwa ila lazima comination sahihi itafutwe hivi kweli unaweza mpango Beki Victor Costa kama kiungo, wachezaji huwa wanabadili namba ila huwezi mpanga costa kama kiungo HAIWEZEKANI na kama wewe unajua mpira kweli unaweza kuliona hilo.Ungesema namba...
Ndugu yangu Manshiroo. inawezekana usemi wako kwamba asiye kujua hakuthamini ukawa ni sahihi in some circumstances ila kwa ishu yako naendelea kusimama kwenye kile nilichokisema kwa kuwa umeonyesha udhaifu wa kupitiliza na kwa maneno mengine wewe pia si mwaminifu, sina lengo la kumtetea mumeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.