Recent content by tumasa

  1. tumasa

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rais wa Namibia, Hage Geingob afariki Dunia

    Mbele yetu nyuma yake amina
  2. tumasa

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wasitisha safari kuelekea Katesh-Hanang kuwafariji wahanga wa mafuriko kutokana na vikwazo walivyowekewa

    Unapo sema wamekatazwa sijaelewa bado inamaana kuwa wamebaguliwa au amejitenga halafu unapo sema habari za mtutu wa bunduki unatutisha mambo hayo hatujazoea kama rahisi na nyie muibe tu msitutishie na machafuko hatujazoea.
  3. tumasa

    JamiiForums Tanzania Bus la Ally's lagonga Kichwa cha Treni Manyoni Singida, Watu 13 wafariki Dunia, 25 wajeruhiwa

    Du kweli mwaka umeisha siyo kwa shida hii.
  4. tumasa

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Mambo ya Ndani afika eneo la ajali ya Treni na Basi iliyoua watu 13, Novemba 29, 2023

    Pole kwawote waliopatwa na taabu hii munguawarehemu marehemu wote na awaponye majeruhi wote, amina.
  5. tumasa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Upi umri sahihi wa kuzidiana kati ya mume na mke?

    Lakini ukumbuke kuwa fiti muda wote au la watakusaidia.
  6. tumasa

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

    Ndiyo maana ya ndugu mteja na siyo mgonjwa mbona yapo wazi hadi kero.
  7. tumasa

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Tanzania inataraji kupata mvua kubwa za Elnino isivyo kawaida. Wavuvi waanza kukatazwa kwenda kuvua

    Kwahiyo unataka kutuambia nini hasa sijakuelewa.
  8. tumasa

    JamiiForums Tanzania Kwa CCM kuingiza siasa kwenye taifa stars, dua langu ni kesho tuaibishwe na Morocco

    Tunajuwa vibaraka wa waarabu bado wapo hatuoni ajabu hatakama wao ni wazuri kitaeleweka tu. Halafu mambo ya siasa na mpira hakuna chama kilicho katazwa kusapoti timu kwamba hawa tawala hawa wapinzani kila mtuanajuwa hilo.
  9. tumasa

    JamiiForums Tanzania Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

    Kama waliweza kumkana YESU Tena kwa kuuliza huyu ni nani watashindwa kukumbushia ya sodoma. Napita tu.
  10. tumasa

    JamiiForums Tanzania Yanga vs Simba; Yanga ni Mamelodi

    Hawa wakulialia bado wanatesa na 5g maana kila kukicha wakiona jezi ya njano au kgjani wanajificha, wakisikha sauti ya Ally kamwe wanazima radio, wakiingia mtandaoni yupo manara yaani mpaka wasemeee. Yanga ya 5g noma tunanenepa wao wanakonda.
  11. tumasa

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Yanga wapo vizuri sana. Kiasi kwamba hata mashabiki nauongozi wa simba unatamani kuwa na kikosi cha yanga.
  12. tumasa

    JamiiForums Tanzania Iran: Tunaonya tena kuwa Gaza itageuka makaburi kwa majeshi ya Israel

    Unapo tema mkwara muangalie na unaye mkoromea maana kama walianza wao jamaa wakamaliza.
  13. tumasa

    JamiiForums Tanzania Takwimu mbalimbali Afrika! Tanzania haimo

    Wakujikomba hao utawajuwa tu.
  14. tumasa

    JamiiForums Tanzania Oscar Oscar uache kuwaita wachungaji ni matapeli! Chambua soka, achana na wachungaji kabisa

    Hapa sijawapata bado osca mchungaji huyu wa kweli au wale wa kutafuta kiki. Hebu tazama mpaka huku muwe na aibu kidogo au ndiyo ninyi mlio mkataa YESUkwa kudai hamumjuwi kuyu ni nani. Kweli makanisa mengine yamezidi michango mpaka waumini wanakimbia, leo mchungaji anataka kutetewa bora hata...
  15. tumasa

    JamiiForums Tanzania Mpira wetu vituko sana, sasa tunashindana nani kajaza mabasi mangapi?

    Mbona mnapenda vya wenzenu, simba alishaenda uturuki yanga yupo kigamboni, na wote wanajiandaa we povu kama umekula sumu. Au wewe timu arabu mehala.
Back
Top Bottom