Recent content by Tsidikeu

  1. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea

    Sawasawa Sasa hapa imekaa vyema,tutaingia Barabarani
  2. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania Kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume?

    Hilo pepo lipo Ccm tu! Kulikemea hawawezi kwasababu hakunaga historia ya Pepo akamkemea pepo!
  3. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania GE2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

    Unastahili lile tusi la Maalimu seif,,,kaongelee chumbani kwako..
  4. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020

    Upo wapi ewe utuhabarishaye? Mbona hatuoni picha na shamrashamra za hapo Airport!!
  5. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Nani aliyempa Mamlaka Job Ndugai,yakumrudisha Cecil Mwambe Bungeni ili hali alishajitoa?
  6. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania MADA: Tatizo la Watoto kuchelewa kuongea. Ni kipi chanzo chake? Je, nawezaje kutatua tatizo hili?

    petro matei, Na mimi wakwangu Anamiaka hivyo hivyo,na tabia kama hizo hizo ulizozisema,,,kwakweli sijui tunafanyeje hapa. Mtaalam ebu tupe namna tufanyeje wenda tukapata njia.
  7. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania GE2020 Nabii Mkuu Geo Davie: Mchagueni Magufuli, acheni ushabiki

    Daudi huyu mtu walimshika na mkono wa Albino,,,,Huyu jamaa alikuwa hayupo,karudi juzikati tu.alikuwa na tuuma nzito na serikali...hii issue Ilizimwa kimya kimya,na akakubaliana na masharti yakumpigia debe mkulu 2020
  8. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania GE2020 Nabii Mkuu Geo Davie: Mchagueni Magufuli, acheni ushabiki

    Ha ha ha ha ,,,LAZMA AMPIGIE KAMPENI KWASABABU JUZI KATI SI ALISHIKWA NA MKONO WA ALBINO?....ikabidi akubaliane na Masharti kama alivyo yakubali Gwajima.
  9. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania Watu hutazama mwisho wako na si mwanzo wako

    Naona ANGUKO KUU LA Paul Makonda. Atatafuta njia ya kupita,atakuwa amechelewa Atalitafuta Jeshi linalomzunguka sasa,,,Hataliona tena. Ataomba Msaada kwa Baba yake,ambaye muda huo atakuwa ameji quarantine CHATO,,,,hatasaidiwa Mungu alivyo muaminifu,yoote atakayotaka kufanya ili kuiokoa nafsi...
  10. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania Lema amjibu DPP Mganga Biswalo, amtaka aache kutisha watu

    Asante Sana Mh. Lema Mungu akubariki kwa maneno mazuri yaliyo ubariki moyo wangu.
  11. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo NIDA inavyoshughulikia Watanzania Wazawa?

    Serikali ya chama cha mapinduzi ndivyo ilivyo,,,,binafsi nina namba tu,,,,of course walinitumia sms kwamba kitambulisho nikakichukue kipo tayari,,,nikajizoazoa mzima mzima nikafika,kisha nikauliza Kitambulisho na nikawaonyesha na sms waliyonitumia,,, Jibu walilonipa”HAKIONEKANI,WENDA...
  12. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amlipia Peter Msigwa Tsh. Milioni 38 ili atoke gerezani, CHADEMA wadai wameshamlipia Mil 40

    Nilichogundua ni kwamba WASHAURI WA Rais ni bogas kweli kweli,...
  13. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania Namna ya kuchangia faini ya Tsh. Milioni 350 waliyohukumiwa kulipa Viongozi wa CHADEMA

    Mdogomdogo mpaka saa 10 jioni tumemaliza
  14. Tsidikeu

    JamiiForums Tanzania TCRA kulazimisha laini moja tu kwa kila mtandao kwa Raia si sahihi!

    Sijawahi kuona Serikali ya ajabu kama SERIKALI YA CHAMA CHA MAPINDUZI.
Back
Top Bottom