Recent content by TRUTH SEEKER78

  1. T

    KUB Freeman Mbowe Vs NS Job Ndugai: Kushindwa kwa Uongo baada ya Kweli kufahamika!

    Nadhani kwa mtu makini na mwenye shahada ya uzamivu ungeanza na maana (definition) ya ukweli ili tuhusianishe unachokisema na hiyo maana kuliko kuanza na attributes za ukweli. Nina mashaka si na kile ulichosema bali uelewa wako juu ya neno "ukweli"
  2. T

    Kwa Hili la CHADEMA kupeleka Mapendekezo ya Rasimu ya Katiba kwa Lori, ni Umbumbumbu wa hali ya juu

    Ni wale tu walioweka akili zao rehani wanaweza kusema namna hii na kwa wepesi wa hoja km huu unaonesha si uhalisia ila chuki za mtu kwa CHADEMA. Heri anayepeleka maoni ya wananchi wake kwa lory aliyokusanya hadharani kuliko wale waliowarubuni watu kwa kwenda na maoni yao kufungia watu kwenye...
  3. T

    JK: CCM Tujiandae kisaikolojia muundo wa serikali tatu

    Haya na mimi napita tu. Nimesikia.
  4. T

    Bomu la Arusha: Gari la Polisi PT 1179 lilitumika

    Kwani uendelee na hypothesis wakati uhalisia upo? Nao huo ni upuuziiiíi
  5. T

    Sakata la Bomu: Pengo afichua siri

    Nina mashaka sana na taarifa yako maana naona haijakamilika na wala haijitoshelezi.
  6. T

    Shukrani kwa ukaribisho - Anna Tibaijuka

    Karibu sana mama! Swali: je, mama sheria ya ardhi km ilivyo sasatkuwa ni mali ya raisi wa jamhuri ya Muungano wa Tz huoni kuwa inaweza kutumimika vibaya na watawala wasiowaadifu na kusababisha chuki kati ya wananchi na serikali km inavyotokea sasa Ngorongoro na maeneo mengine?
  7. T

    Mkutano wa CHADEMA Njombe na Matukio yake

    Safi sana tukimaliza huko ccm wataona nyota.
  8. T

    Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

    Ivi watoto wa Peter Serukamba husikiliza bunge na kusikia anachosema baba yao? Mkewe humpokea kwa staili ipi akirudi kwake?
  9. T

    CHADEMA Yaanikwa Bungeni Jioni Hii!

    kweli sisiem mmekubuhu hamna jipya.
  10. T

    Bungeni: Halima Mdee aambiwa anacheza 'mbwa kachoka'

    Wameshagundua kuwa ukiporomosha matusi unatunukiwa cheo na serika au na"mzee"
  11. T

    Kibwana Dachi amchana LIVE Wasira

    Achana na huyo... Amejichokea akalale kwake.
  12. T

    Kibwana Dachi amchana LIVE Wasira

    Kwani wasira ni nani na amelifanyia nini taifa hili bingwa wa kuhama vyama km nini kutafuta mlo?
  13. T

    Wabunge wa CHADEMA mnakera sana

    Kwa hiyo hao akina Mwigulu ndo wana nidhamu? Unaitafsiri vipi nidhamu? Na ndo mana hukuwa spika na kamwe huwezi kuwa. Never argue with the professionals people might notice the difference.
Back
Top Bottom