Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Aliyetukana kakosea na kaomba msamaha ila inakuaje mbunge unaamrishwa na spika ukae au kutoka ukumbini unakataa wewe kama si ganja ni nini? Nani anakuongoza bungeni?
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
chamviga, hope unaishi kwa matumaini na IQ yako iko under average sana. Nakuonea hrma kwa kutojitambua japo bado unaendelea kuishi dunia hii, sio kwamba namlazimisha muumba akuchukue ila inastahili iwe vile kabisa huna umuhimu wa kuendelea kuishi naona oxygeni unayopewa na muumba inapotea bure kabisa bora ukafia mbele!
bila watu wenye akili kama zako ukomboz ungeshatufikia,mzee wa vijisent asingekua mbunge,wezi wa epa wangekuwa segerea,dowans isingelipwa,NBC isingeuzwa,kusingekua na mbunge ambae ni mkuu wa mkoa,watoto wasinge somea chini ya miti,Nembo ya Taifa (Twiga)wasinge ibwa wakauzwa Catar,magorofa yasinge anguka hovyo city centre,wewe na magamba wenzako ni janga la Taifa la Tanzania.
13th March, 2013 Joined!!!!!!!!!!! si bure
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.
Yaani ndugu yangu nakuunga mkono kabisaaaaaaaaa. wale wabunge ni makanjanja na wanapaswa kutolewa nje kila kikako cha Bunge. Wanalipuka tuuu. aaaaaaah, wanaharibu Bunge letu tukufu. Ni bora turudi enzi ya One party state.