Recent content by Truss

  1. Truss

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sorry lakini Mkuu, ulitumia kinga?
  2. Truss

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Huyo dada wa kaunta sura sio ngeni
  3. Truss

    Bei ya vyakula vya mahoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri wa mabasi iangaliwe na mamlaka husika

    Kwa kweli inakera sana, safari inakuwa chungu wakati kwa wenzetu safari ni adventure. Mimi siku hizi tukifika kwenye hizo hoteli sinunui chochote zaidi ya kuvuta sigara na kunyoosha miguu.(Ref.Nangulukulu e.t.c)
  4. Truss

    Virgil van Dijk na Koulibaly Uefa watafute utaratibu mpya wakupata wachezaji bora wa ulaya

    Tatizo la wabongo wanafikiri wachezaji ni malaika, kwenye mpira makosa yanatokea sana tu, liverpool kwa muda mrefu walikosa beki imara aina ya Vigril
  5. Truss

    Mchezo mchafu wa zebra wanaofanya trafiki polisi Magomeni usalama, siku nitatengua mtu kiuno, endeleeni hivyo hivyo.

    Huo ushahidi unaweza kukusaidia mahakamani, lakini sio kituoni hasa wakigundue kama ulimrekodi mwenzao, watakuzingua sana.
  6. Truss

    Umoja wa Chama cha Wajane Wamtembelea Bi Jackline Mengi

    Hicho chama wako vizuri tu, hata wajane wa kawaida wanakutana nao mikoa yote ya Tanzania, nakumbuka mwaka jana walikuja Mtwara na Lindi kukutana na wajane bila ubaguzi wowote, Jackline ni mtu maarufu ndio maana tukio la kumtembelea limetengeneza headlines.
  7. Truss

    Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

    Nipe location nije nikuone Hela sio tatizo
  8. Truss

    Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

    Naomba namba yako nikurushie sasa hivi
  9. Truss

    Nijuzeni: Costantine Kimanda alikuwa ni mchezaji wa aina gani?

    Kwa kumbukumbu zangu hiyo mechi ilichezwa kati ya mwaka 2000 au 2001 kama sikosei.
  10. Truss

    Vazi la Waziri Mkuu wa Fiji lawashangaza wakenya

    Hilo ni vazi la utamaduni nchini Fiji, nchi nyingine wanaovaa hivo ni Scotland
  11. Truss

    Uliza swali lolote la umeme wa majumbani

    Kwa nyongeza tu, hizo MCB (Switchi) za kwenye Main Switchi ikitokea imejizima kutokana na hitilafu yoyote iliyopo ndani ya nyumba na hiyo switchi haikufika mwisho wakati wa kujizima, kabla ya kuiwasha tena inatakiwa uipeleke mpaka mwisho (Press downward) halafu unaiwasha kwa kuipeleka juu (Press...
  12. Truss

    Jambo gani la aibu ulilofanya ndani ya basi?

    Au unajikuta umekaa na mmama ana watoto mapacha halafu wasumbufu njia nzima!!
  13. Truss

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    😁😁😁😁😁
Back
Top Bottom