Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,557
Badala ya kuoa na kuolewa, wanaunda chama !?View attachment 1190668View attachment 1190668UMOJA wa Chama cha Wajane na Wagane nchini wamefunga safari mpaka nyumbani kwa mjane wa marehemu Reginald Mengi, anayefahamika kwa jina la Jacqueline Mengi, kwa lengo la kumfariji ikiwa ni miezi michache imepita tangu mumewe afariki dunia.