Recent content by Trueman m

  1. Trueman m

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Wakuu, habari za asubuhi, naomba kuwekwa sawa, watumishi wa kada ya ualimu walioajiriwa January 2011 kwa sasa wanapaswa kuwa daraja gani? Natanguliza shukrani zangu kwenu. ( Wale wenye shahada).
  2. Trueman m

    FT' Tanzania 1-1 Tunisia - AFCON 2025| Group Stage | Group C | Match 3 of 3 | Stade Prince Moulay Abdallah Stadium | Saa 19:00 Usiku

    Mkuu, pole sana japo buku langu limeniuma utafikiri niliweka 500,000/=.
  3. Trueman m

    Wakili Amon Mpanju: Kama hakuna amani utawezaje kudai haki na kutimiza wajibu wako?

    Kama kumbukumbu zangu ni sahihi, mwaka ule wa bunge la katiba, aliwahi kukwambia "Napuuza hoja yako kama ninavyokupuuza wewe mwenyewe". Kwahali aliyonayo bwana Mpanju wabunge wengi waliotoka kambi ya CCM walipoga kelele kulaani kauli ya ndg Jussa, lakini ukweli usemwe, tumekuwa na taiga la hovyp...
  4. Trueman m

    FT' Tanzania 1-1 Tunisia - AFCON 2025| Group Stage | Group C | Match 3 of 3 | Stade Prince Moulay Abdallah Stadium | Saa 19:00 Usiku

    Wazee wa mikeka tushawachinja, nitasikitika sana wakipata sare maana buku langu litakuwa limeenda bila sababu.
  5. Trueman m

    Kwa hiyo tumekubaliana wakifa wote tutatawaliwa na watoto sio? Pole Halima Mdee!

    Hivi huyo Wakazi ndiyo Webiro? Nakumbuka miaka ya 90 mwishoni Ikizu sekondari alikuwepo kijana anaitwa Webiro Wassira, alikuwa anajiona tozi sana, hata mkienda church anasubiri Kila mtu ameingia watu wamekaa kwa kutulia ndiyo anaingia ili Kila mtu amuone! Na alivyokuwa anavaa expensive (siyo...
  6. Trueman m

    Siku 10 kabla ya D9: Mabadiliko makubwa ninayoyaona yananitafakarisha

    Hizi fikra na mawazo ya kijinga na waninga ndiyo hatutaki kuyasikia, mbona unarudisha mambo nyuma! Watu wema wanajaribu kubadilisha hali yet a fool like you usiyethubutu kufanya chochote ni kukatisha watu tamaa! Kama huwezi kuwatia moyo watu kwenye mapambano then shut that big mouth of yours.
  7. Trueman m

    PostGE2025 Dkt. Ayoub Rioba wa TBC anasema CNN na wengine walitakiwa kuripoti Serikali ya Rais Samia ilivyopunguza vifo vya mama na mtoto

    Dr. Ryoba nilianza kumsikia tangu nikiwa kijana, sasa hivi mimi ni mtu mzima, katika uhalisia alitakiwa awe ameachia nafasi zote katika utumishi wa umma, kuendelea kung'ng'ania kutumikia umma katika umri wake ndiyo kunamfanya atoe mawazo ya namna hiyo ambayo miaka ya mwanzoni mwa 2000, katu...
  8. Trueman m

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nikajua safari hii hadi 9122025 ipite ndiyo mambo yaende sawa.
  9. Trueman m

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tayari jumatatu imefika mkuu, ni swala la muda tu.
  10. Trueman m

    Dark days 17/03/20

    Kwahiyo hapo wewe umeona nimeomba! Wewe katika haya maisha Kila kitu ni serious huwezi kuongea jokingly! Pathetic.
  11. Trueman m

    Dark days 17/03/20

    Hebu nitumie buku mkuu, bando langu linakata. Hivi tuko salama kweli?
  12. Trueman m

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Sasa ndugu Lucas naye anaogopa!
  13. Trueman m

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Hahaha acha masihara wakati watu wako kwenye taharuki mkuu🤣🤣
  14. Trueman m

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Pol e Nilichelewa kujibu mkuu, NMB, Nilipoona sms nikachukua kadi na pikipiki nikakimbia kwenda kuchukia, nimefika ATM zinazingua ila namshukuru baada ya kusubiri zaidi ya nusu saa zilikaa sawa.
  15. Trueman m

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Naona na mimi nimekumbukwa, ambayo bado mvute subira kidogo, tunawaombea mpate mapema.
Back
Top Bottom