Recent content by Trueman m

  1. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Afadhali wewe ulitoka sasa nane za usiku wengine ndiyo tumepata sasa hivi sasa Saba!
  2. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Na mie nawaza kama wewe mkuu.
  3. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hauko peke yako ndugu, tuko wote.
  4. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Sasa uongo hapo ni upi? Hiyo niliyoweka mie ni take home, labda kama wewe unaongelea basic salary.
  5. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tofautisha basic na take home, yeye alitaka take home, take home ya F haiwezi kuwa 1,300,000/= .
  6. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hiyo ni basic mkuu, anataka take home.
  7. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    G1 ni Tshs 1,254,000/= G2 1,277,000/=.
  8. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hivi wakuu, kada ya ualimi ajira ya 2011 anapaswa kuwa daraja gani? Naona kama nimestack G!
  9. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Inaelekea sasa 6 mchana, kuna dalili yoyote huko?
  10. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Wakuu, habari za asubuhi, naomba kuwekwa sawa, watumishi wa kada ya ualimu walioajiriwa January 2011 kwa sasa wanapaswa kuwa daraja gani? Natanguliza shukrani zangu kwenu. ( Wale wenye shahada).
  11. Trueman m

    JamiiForums Tanzania FT' Tanzania 1-1 Tunisia - AFCON 2025| Group Stage | Group C | Match 3 of 3 | Stade Prince Moulay Abdallah Stadium | Saa 19:00 Usiku

    Mkuu, pole sana japo buku langu limeniuma utafikiri niliweka 500,000/=.
  12. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Wakili Amon Mpanju: Kama hakuna amani utawezaje kudai haki na kutimiza wajibu wako?

    Kama kumbukumbu zangu ni sahihi, mwaka ule wa bunge la katiba, aliwahi kukwambia "Napuuza hoja yako kama ninavyokupuuza wewe mwenyewe". Kwahali aliyonayo bwana Mpanju wabunge wengi waliotoka kambi ya CCM walipoga kelele kulaani kauli ya ndg Jussa, lakini ukweli usemwe, tumekuwa na taiga la hovyp...
  13. Trueman m

    JamiiForums Tanzania FT' Tanzania 1-1 Tunisia - AFCON 2025| Group Stage | Group C | Match 3 of 3 | Stade Prince Moulay Abdallah Stadium | Saa 19:00 Usiku

    Wazee wa mikeka tushawachinja, nitasikitika sana wakipata sare maana buku langu litakuwa limeenda bila sababu.
  14. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo tumekubaliana wakifa wote tutatawaliwa na watoto sio? Pole Halima Mdee!

    Hivi huyo Wakazi ndiyo Webiro? Nakumbuka miaka ya 90 mwishoni Ikizu sekondari alikuwepo kijana anaitwa Webiro Wassira, alikuwa anajiona tozi sana, hata mkienda church anasubiri Kila mtu ameingia watu wamekaa kwa kutulia ndiyo anaingia ili Kila mtu amuone! Na alivyokuwa anavaa expensive (siyo...
  15. Trueman m

    JamiiForums Tanzania Siku 10 kabla ya D9: Mabadiliko makubwa ninayoyaona yananitafakarisha

    Hizi fikra na mawazo ya kijinga na waninga ndiyo hatutaki kuyasikia, mbona unarudisha mambo nyuma! Watu wema wanajaribu kubadilisha hali yet a fool like you usiyethubutu kufanya chochote ni kukatisha watu tamaa! Kama huwezi kuwatia moyo watu kwenye mapambano then shut that big mouth of yours.
Back
Top Bottom