Wakuu, habari za asubuhi, naomba kuwekwa sawa, watumishi wa kada ya ualimu walioajiriwa January 2011 kwa sasa wanapaswa kuwa daraja gani? Natanguliza shukrani zangu kwenu. ( Wale wenye shahada).
Kama kumbukumbu zangu ni sahihi, mwaka ule wa bunge la katiba, aliwahi kukwambia "Napuuza hoja yako kama ninavyokupuuza wewe mwenyewe". Kwahali aliyonayo bwana Mpanju wabunge wengi waliotoka kambi ya CCM walipoga kelele kulaani kauli ya ndg Jussa, lakini ukweli usemwe, tumekuwa na taiga la hovyp...
Hivi huyo Wakazi ndiyo Webiro? Nakumbuka miaka ya 90 mwishoni Ikizu sekondari alikuwepo kijana anaitwa Webiro Wassira, alikuwa anajiona tozi sana, hata mkienda church anasubiri Kila mtu ameingia watu wamekaa kwa kutulia ndiyo anaingia ili Kila mtu amuone! Na alivyokuwa anavaa expensive (siyo...
Hizi fikra na mawazo ya kijinga na waninga ndiyo hatutaki kuyasikia, mbona unarudisha mambo nyuma! Watu wema wanajaribu kubadilisha hali yet a fool like you usiyethubutu kufanya chochote ni kukatisha watu tamaa! Kama huwezi kuwatia moyo watu kwenye mapambano then shut that big mouth of yours.
Dr. Ryoba nilianza kumsikia tangu nikiwa kijana, sasa hivi mimi ni mtu mzima, katika uhalisia alitakiwa awe ameachia nafasi zote katika utumishi wa umma, kuendelea kung'ng'ania kutumikia umma katika umri wake ndiyo kunamfanya atoe mawazo ya namna hiyo ambayo miaka ya mwanzoni mwa 2000, katu...
Pol
e Nilichelewa kujibu mkuu, NMB, Nilipoona sms nikachukua kadi na pikipiki nikakimbia kwenda kuchukia, nimefika ATM zinazingua ila namshukuru baada ya kusubiri zaidi ya nusu saa zilikaa sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.