Recent content by Tresa

  1. Tresa

    Tuliowahi kuwaona Marais wote watano kwa macho tukutane hapa. Taja na maeneo uliyomuonea

    Kikwete tuu Police college Kurasini though ata Mkapa nlimuona Baracks ila kwa mbali
  2. Tresa

    Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi 5 Afrika, Wakenya wapinga na kudai kwamba Tanzania inapendelewa haistahili kuwepo

    Kuna sehemu niliona 1.Ghana 2.Nigeria 3.South Africa 4.Senegal 5.Kenya
  3. Tresa

    Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

    Daaah mkuu mimi sina kazi ya maana lakini walau napata kidogo changu, nna maisha kama yako ya zamani Pombe+Nyama+Mademu. Nmekuwa limbukeni sana wa papuchi yani huniambi kitu. Nafikiri ni stage tuu ambayo wengi tunapitia ila kusanuka ndo inakuwa mtihani mzito yani usanuke uachane na hivi vitu...
  4. Tresa

    Kwa mtaji wa Tsh. 400,000/- naweza fanya biashara gani?

    Tupo wengi sana ambao tunaenda kumaliza semester na tuna mitaji kiasi flani ya kuanzi biashara ila bado hatujui biashara ipi ya kufanya wakuu tunasoma comment zenu. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Tresa

    Saikolojia: Makundi manne ya watu katika mapenzi

    Swali langu ni kwamba mazingira yanaweza mbadilisha mtu aka mix Tabia za introvert na extrovert ? Mfano mimi origin yangu ni mpole, mpenda amani mtu wa kufikiria sana ila katika utafutaji nimejikuta na adopt tabia za Sanguine nmekua mropokaji nisiye na aibu ata kidogo wakati mwanzoni sikuwa ivyo...
  6. Tresa

    Ifahamu nchi ya Switzerland (Uswisi) japo kwa machache

    Mkuu kweli hizi ndio vitu vya ndani tunatakiwa kujua jamaa kaeleza poa ila maelezo yake unaweza Google ukayapata yote mambo za kitaani tabia za wanawake wa kizungu ndio vitu vya muhimu kujua Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Tresa

    Kwanini somo la Intermediate Accounting ni gumu na linasumbua sana wasomaji?

    Me nilikuwa naona cooperate ndo ngumu ias na ifrs kama msaafu vya kushika Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Tresa

    Umewahi kuwa na mtu kimapenzi kwasababu unamuonea huruma?

    Daah huu uzi unanihusu kabisa Karma is the Bitch. Kuna kadada ka watu kalokole kanipenda wazimu nakili kabisa sijawahi kupendwa kama huyu anajitaidi kunijari sana, simu za mara kwa mara, show siombi naletewa mwenyewe kakija kanajichanua huko kalokole ka watu kanifurahishe me nakaangalia tuu...
  9. Tresa

    Hivi hii kitu inaitwa “blow job” ina faida gani?

    Na mimi nilikuwa nasema kama wewe siwezi kukojoa kwa kunyonywa dushe.... Juzi kwenye pit zangu nikakutana na mtoto wa Ustadhi amekuwa binti mkubwa sana kipindi anasoma alikuwa anaonesha dalili flani hivi maana nlikuwa nampigia pindi mtaani nikawa navunga c unajuwa watoto wa Magu, Sasa juzi...
  10. Tresa

    Hatua nilizopitia hadi kuweza kuwa na online store

    Mkuu unaonekana expert kwenye website na marketing Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Tresa

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    Naomba uniaunganishe mkuu 0657613151 Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Tresa

    Kikuu vs AliExpress

    Walikulizaje man share ya experience tujifunze humu ? Ila haya mambo ya online kama huna uzoefu nayo na hufanyi research utauumia. Sister angu ndo alinijaza ujinga baada ya kuagiza toy la mtoto likafika akaniambia waminifu hakuangalia vitu vingine. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Tresa

    Darasa Huru: Ufundi Laptop (Beginners To Advanced)

    Wazee pc yangu inawaka ila haistart yani huwezi kufanya kitu inakuwa ina ligh on na off sijui tatizo nini ? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Tresa

    Kikuu vs AliExpress

    Huu uzi ungekuja siku kadhaa nyuma ungesaidia sana najuta kufanya shopping Kikuu i swear sitorudia tena kikuu. Jamaa zangu walinijaza nikajaa kumbe wao wamezoea kuagiza flash disk moja na wanaishi Mikoani hawajui ata bei ya bidhaa kariakoo na quality zake. Nlifanya shopping kubwa baada ya...
Back
Top Bottom