cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,918
- 189,538
Ni sawa na kuubadili ubongo!Nafikiri kwa kondition fulani unaweza kuhama kutoka kundi moja kwenda lingine.....
Sent using Jamii Forums mobile app
He he! Ati watu wakipendana wanaishi tu!Kikubwa ni kwamba upendo haujawahi kuzingatia hayo makorokoro yote watu wakipendana wanaishi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwengine kaandika mimi ni introvert segment ya phlegmatic!Hahahahh sawa Mkuu asante kwa ujumbe
Nahisi Wewe ni Extroverts kwa kuangalia overall performance yako humu
Je Mimi [emoji38][emoji38][emoji38]
Brother,Nikufahamishe to kuwa saikolojia ni taaluma pana sana sijui una level gani huenda ukawa hata mwalimu wangu Ila usijali pokea haya. Nadhan eneo unalolijadili ni personality psychology nadharia ya introvert na extrovert kama mgawanyo you.Ni sawa na kuubadili ubongo!
Kuhama kundi ni kazi sana tena sana maana hizo ni tabia it's like your coded!!
Mtu anaweza kubadili baadhi ya tabia kundi utahangaika sana Tena Sana.. hebu niambie mtu kama Sanguine na machepele yake atapendaje kuwa phlegmatic au melancholic..?
Itakuwa vyema ukifafanua hapa mtu anawezaje hama kundi..?Brother,Nikufahamishe to kuwa saikolojia ni taaluma pana sana sijui una level gani huenda ukawa hata mwalimu wangu Ila usijali pokea haya. Nadhan eneo unalolijadili ni personality psychology nadharia ya introvert na extrovert kama mgawanyo you.
Ila ungekuwa umenikuu angalau kwenye clinical psychology na biology(hormones ), ningeafiki kuwa mtu hawezi kuwa sometime introvert and sometime extrovert.Na behavourist bado wanaweza kukupinga. Karibu
Akikujibu nitag, sometimes nahisi mie ni extrovert lakini sipendi interaction..muda mwingi napendelea niwe mwenyewe na siku ikatokea nikachangamana Niko very charming, namake friends easily, nina hasira za karibu. NkSs kuna wenye tabia aina zote 4 ushauri kwao tafadhali
Itakuwa vyema ukifafanua hapa mtu anawezaje hama kundi..?
Swali ni simple tu.
[/QUOTE
Ni kwelim
Mimi ni naomba nikuulize tu ,kaka una utaalam eneo hili vizuri. ? Kama ni mwanasaikolojia lazima uruhusu inputs katika eneo la utaalam kutoka other fields of psychology and sometimes beyond. Mimi naamini hizo ni behaviours which can be shaped kwa kutumia models,conditioning,interaction ,etc. I stand to be corrected. Otherwise u quote kwenye clinical psychology ( brain portions) ambazo mtu huzaliwa nazo kwa ajili ya kuwa introvert au extrovert ,pia hormones. au genitical.AsanteItakuwa vyema ukifafanua hapa mtu anawezaje hama kundi..?
Swali ni simple tu.
Jiepusheni na mitandaoSs kuna wenye tabia aina zote 4 ushauri kwao tafadhali
Kuna watu ni ambivert wana tabia za makundi mawili ila lipo moja linakuwa juu ya lengine.. Hilo ni la kawaida tu hasa kwetu sisi wanaume kwenye zile kazi ngumu hutulazimu tuwe wakali hata kama si mkali ila still kuna kuwa na utofauti ukali wa asili na ule wa mazingira unakuwa kidogo tofauti...Swali langu ni kwamba mazingira yanaweza mbadilisha mtu aka mix Tabia za introvert na extrovert ?
Mfano mimi origin yangu ni mpole, mpenda amani mtu wa kufikiria sana ila katika utafutaji nimejikuta na adopt tabia za Sanguine nmekua mropokaji nisiye na aibu ata kidogo wakati mwanzoni sikuwa ivyo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwa ni ambivert yani umemix makundi mawili!..Akikujibu nitag, sometimes nahisi mie ni extrovert lakini sipendi interaction..muda mwingi napendelea niwe mwenyewe na siku ikatokea nikachangamana Niko very charming, namake friends easily, nina hasira za karibu. Nk
Kama ulikuwa hujanielewa lengo la Uzi ni kuangalia personality zetu na mapenzi.. tabia zetu na mapenzi.. tabia zetu(ktk makundi ya kisaikolojia) yanaathiri vipi mapenzi/mahusiano yetuNina amini Mapenz yana tabia nying zaid Ya uliyoyaandika...
Ni mapana zaidi.
Kuhusu Imani, mm kwangu Mapenz ni tabia zinazoendana na Nyota ya mtu.
(Mizani, Mapacha nk).
Sent from my iPhone using JamiiForums