Mtoto wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja nchini India aliyebainika kuwa na nywele kwenye sehemu zake za siri na hamu ya kufanya mapenzi amegundulika kuwa na tatizo la homoni ambalo ni nadra sana.
Mtoto huyo ambaye jina lake ni Akash, alipatikana akiwa na homoni za testosterone zenye kiwango...
Wazee wa kodi mpo?
Haya, msemo huu pengine mshausikia mahali au sio? Au niulize tu, maneno hayo yamo kwenye wimbo gani? Kama ushaujua basi tuendelee kimya kimya tusiwape faida wasiohusika.
Einsten wa Tz ambae hivi karibuni akishirikiana na swahiba wake wa longi, Mzee wa Biashara, kwenda...
Wapendwa, nina minuso mingi ya kuwaalika. Mnaweza kunifuatilia hapa hapa JF kila uchwao.. Huenda mkapata nyeti nyingi zaidi, japo mwendo wangu utakuwa ni huu huu (CODE)..
Sasa mnuso ujao ni tata zaidi. Lakini kwa sasa naongeza nyama kidogo kwenye ligi hii ya Madam na Mchaga... Kumbe bhana hii...
Huyu jamaa ana tatizo.. Nahisi ni muhanga wa siasa za ndani... Sidhani kama hata anafurahia maisha.. Hivi siku akigundua kuwa viongozi waandamizi waliopo kwenye hivi vyama vya siasa ni machinery ya system kuu si atajinyonga huyu?
Yaani kwa mfano akijua Mwenyekiti Mbowe ni mtu wa CCM si atazirai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.