Msaada: Nimeibiwa ndege yangu Airport

kipipili

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
1,590
183
Wanajukwaa nimechanganyikiwa. Ndege yangu aina ya Dash 8 imepotea katika mazingira ya kutatanisha, niliipaki Airport ya Uwanja wa ndege.

Mwenye taarifa anipm tafadhali.
 
Wanajukwaa nimechanganyikiwa. Ndege yangu aina ya Dash 8 imepotea katika mazingira ya kutatanisha, niliipaki Airport ya Uwanja wa ndege.

Mwenye taarifa anipm tafadhali.
Tupatie namba zake za usajili 5H...tza 5Y...Kny 5x...uga
 
jet a1 lita iwe elfu kumi cdhan mtu angepanda ndege ile ni kerosene tu lita ilikuwa buku na 600 wakati shel ikiwa buku 2, eniwei nimekuta wanaichomoa power window
 
Back
Top Bottom