JF nimeishindwa
Hahaha! We jamaa aisee..maskini mafuta yangu maana nilijaza Jet A1 Lita elfu 10
Tupatie namba zake za usajili 5H...tza 5Y...Kny 5x...ugaWanajukwaa nimechanganyikiwa. Ndege yangu aina ya Dash 8 imepotea katika mazingira ya kutatanisha, niliipaki Airport ya Uwanja wa ndege.
Mwenye taarifa anipm tafadhali.