Tukisha chukua inchi 2015 haki ya mama watarudisha vyote walivyoiibia inji hii kuanzia nyumba za serikali, uda, iptl, nk na wao km hawtakua chakula cha mamba basi wataozea segerea hakika wakati tulio kua tukiusubiri hatimae umewadia mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie ..mungu ibariki tz
Wakati tanzania ilikua ina pigania ukombozi wa bara la afrika kenya wslikua wanajenga uchumi ns kujiona kwamba ni nchi bora zaidi EA .sasa hivi TZ imeshituka na kuanza kujenga uchumi wake basi wakenya wanaweweseka wanaogopa kupitwa ..si unajua usimuamshe aliye lala ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.