Revealing: Wanufaika wa akaunti ya Tegeta Escrow kupitia Stanbic wameshajulikana (Clue 3)

Inakuaje account ioneshe amount na number za account halafu wamiliki wasionekane au wasijulikane? Sawa bank si ipo tumeshindwaje kuwajua wamiliki wa account hizo. Hapa kuna mchezo mchafu mkubwa sana kuliko uliofanyiwa maazimio jana?
Kweli kabisa et kuna bank statement ambayo Mmiliki wake hajulikani kweli? Maswali haya yanafanya niende extra miles thinking than beyond.
Ukiangalia vizuri na kwa umakini mkubwa kuwa bank statement imeonesha kiwango na account number ila mmiliki hajulikani bonge la aibu na dhuluma kweli kama mambo tumeamua yaende hivi.
My take based:
1: Waliochukulia pesa account ya mkombozi walichukua walikuwa wamechelewa na ndio maana walichukua huku vigogo walishabeba kama inavyosemekana.
2: Kutokuonekana na kutokufahamika kwa majina kwa system ya bank kunatilia shaka na kuaminisha umma kuwa kweli yawezekana kabisa kuna majina ya vigogo.
3: Walioazamiwa Jana watakuwa wameonewa sana tu kama kuna vigogo walilipwa kutumia stanbic bank na pesa inaonekana na account zao lakn hawafahamiki
4: Huu si mwisho wa escrow inapaswa Maswi haojiwe na Takukuru usiwe mtindo kama ule vile visenti akaachwa bila kuhojiwa kujua pesa ziko wapi?
5: Stanbic bank watoe tujue wale ni akina nani?
 
Inakuaje account ioneshe amount na number za account halafu wamiliki wasionekane au wasijulikane? Sawa bank si ipo tumeshindwaje kuwajua wamiliki wa account hizo. Hapa kuna mchezo mchafu mkubwa sana kuliko uliofanyiwa maazimio jana?
Kweli kabisa et kuna bank statement ambayo Mmiliki wake hajulikani kweli? Maswali haya yanafanya niende extra miles thinking than beyond.
Ukiangalia vizuri na kwa umakini mkubwa kuwa bank statement imeonesha kiwango na account number ila mmiliki hajulikani bonge la aibu na dhuluma kweli kama mambo tumeamua yaende hivi.
My take based:
1: Waliochukulia pesa account ya mkombozi walichukua walikuwa wamechelewa na ndio maana walichukua huku vigogo walishabeba kama inavyosemekana.
2: Kutokuonekana na kutokufahamika kwa majina kwa system ya bank kunatilia shaka na kuaminisha umma kuwa kweli yawezekana kabisa kuna majina ya vigogo.
3: Walioazamiwa Jana watakuwa wameonewa sana tu kama kuna vigogo walilipwa kutumia stanbic bank na pesa inaonekana na account zao lakn hawafahamiki
4: Huu si mwisho wa escrow inapaswa Maswi haojiwe na Takukuru usiwe mtindo kama ule vile visenti akaachwa bila kuhojiwa kujua pesa ziko wapi?
5: Stanbic bank watoe tujue wale ni akina nani?

Inawezekana kabisa ndugu, database admin wanajua hili. Alotuuza hapa ni CAG, kwenye hiyo bank aliomba account number na amount bila jina na akapewa.
Hivo basi uchunguzi ni lazima uendelee walichukua hizo fedha wafahamike
 
Inawezekana kabisa ndugu, database admin wanajua hili. Alotuuza hapa ni CAG, kwenye hiyo bank aliomba account number na amount bila jina na akapewa.
Hivo basi uchunguzi ni lazima uendelee walichukua hizo fedha wafahamike

wwlochukua wanajulikana. Kama mzee wa tezi dume kaja na kasema ya dodoma hayajui? What do you think?
 
Haya bwana,ila wajue kuwa mavumbini walitoka na mavumbini watarudi watajenga majumba ,magari,mashamba n.k lakini mwisho WA yote hawatakwenda navyo.Kwa wake wakristo wasome Zaburi 49:16-17"Usiogope mtu atakapopata utajiri,Na tayari ya nyumba take itakapozidi.Maana atakapokufa hatachukua Cho chote;Utukufu wake hautashuka ukimfuata"
 
Rais wa 2016 plus ametengenezewa wezi wa kuanza nao. Unakumbuka JK na ak8na Yona, Mramba etc
 
Ndugu zangu wa tz mbona mnataka kujichosha akili? Kama ulifuatilia kwa makini utaelewa pasipo na shaka kwamba hili jambo sio la Werema,maswi wala muhongo pekee,hili jambo ni la system nzima ya serikali hawa wengine wameonekana kwenye maamuzi tu ya utoaji fedha,msichoshe akili zenu kwa kufikiri hawa kina muhongo wametoa wapi ujasiri wa kisimama ktk uongo na kukataa kuwajibika,msichoshe akili kwa kuwaza watu waliongiziwa fedha kwenye account zao halafu majina yao hayaonekana au kutotajwa kabisaaa,
Na wala tusiwalaumu PAC au UKAWA kwa kulegeza angalau msimamo,kumbukeni ushaidi wa mamlaka kuu ya nchi ulivyohusika ktk utoaji fedha kutoka BOT,lazima muelewe kuwa kila ushahid wa jambo linapo semwa bungeni ni lazima likathibitishwe kama ni uongo lisemwe kwamba si kweli,
Jambo hili ni la watawala kuamua kuchota fedha kwa manufaa yao!!vijana wenzangu tufanye kazi kwa bidii ili tuokoe maisha yetu lakini sio kwa mamlaka ya nchi iliyopo sasa,sina chama,sina uhakika kama wapinzani wanaweza kutuletea maendeleo lakini nina uhakika ccm HAIWEZI kutuletea maendeleo kamwe!!! ila wapo wabunge wa ccm wana hadhi ya kuendelea kuwa wawakilishi wa wananchi!!
Kwa nafasi ya urais ccm wamepoteza sifa,baba umerudi safari halafu unaanza kuwapa hadith za safari watoto!! Wakati unajua wananjaa,hawana matibabu bora,wanamsongo wa mawazo!! Hata kama huna majibu ya papohapo basi ongea vitu ambavyo vitaleta faraja mioyoni mwao!!!
 
wwlochukua wanajulikana. Kama mzee wa tezi dume kaja na kasema ya dodoma hayajui? What do you think?

Najua wanajulikana, nilichosema ni kwamba, CAG kwa makusudi aliomba account number and amount tu akaacha majina
 
Yes,
Naungana na watanzania kumpongeza Kafulila, Zitto, Filikunjombe na kamati nzima ya PAC japo mwanzoni tuliwabeza sana.
Kamati ilichokifanya ni kutoa ka mwanga kadogo tu kwa watanzania juu ya wizi uliotendeka ili wenye akili wajue tunaibiwa sana. Waliovuliwa nguo ni kiduuchu sana ya saga zima. Ukitaka kuaibisha ma big potatoz ni kuwataja jamaa waliopata mgao wa Stanbic na nakuambia hutakuja kuwajua kamwe! Japo anatajwa Shaban Gurumo kama alivyomtaja Lissu bungeni, huko kuna list ya ajabu sana. Jamaa wa Stanbic baada ya kuona the game is over walifunga fasta accounts zote (isitoshe hata nyaraka hard and soft zilishaharibiwa) na kumbuka Stanbic ni bank ya kimataifa na ina system kali sana. Mchezo wa wizi wa pesa hawakuanza leo, kuna vitengo madhubuti vya hako ka game ndani ya bank. Mtu akimaliza mission yake anasepa to next one ndo maana yule mganda aliyekuwa akichezesha hii issue alitimua zake na watanzania tukabaki aaaaahhhh!!! Ndo tushaliwa.
Mkombozi bank imekuwa ni mbuzi tu wa kafara issue iko Stanbic, sasa nani mwenye ubavu wa kuchungulia alikolala mkubwa? Kama unataka kuchapwa viboko kajaribu!
Poleni watanzania wote.
Wasalaam.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mmmmmh huko nasikia ni balaa hadi Mkuu wa upinzani yumooooo. Wasalam mod na mtoa mada
 
Ni vema kuweka uthibitisho usiokua na chembe ya mashaka nan
kuwa na nyaraka zilizohakikiwa...otherwise hamna tofauti na mh JL 0headed!
 
Nasikia huko Stanbic hakukuwa na cha bank transfer wala nini huko mambo yalikwenda kwa kuzoa cash na kuziweka kwenye viroba. Hata ukiipata hiyo bank statement, hutaona chochote cha maana kwani majina ya waliyolipwa hayapo. Hapa suala ni kuibana management ya Stanbic itwambie hao waliobeba pesa kwenye viroba ni kina nani.

Tiba
 
Inakuaje account ioneshe amount na number za account halafu wamiliki wasionekane au wasijulikane? Sawa bank si ipo tumeshindwaje kuwajua wamiliki wa account hizo. Hapa kuna mchezo mchafu mkubwa sana kuliko uliofanyiwa maazimio jana?
Kweli kabisa et kuna bank statement ambayo Mmiliki wake hajulikani kweli? Maswali haya yanafanya niende extra miles thinking than beyond.
Ukiangalia vizuri na kwa umakini mkubwa kuwa bank statement imeonesha kiwango na account number ila mmiliki hajulikani bonge la aibu na dhuluma kweli kama mambo tumeamua yaende hivi.
My take based:
1: Waliochukulia pesa account ya mkombozi walichukua walikuwa wamechelewa na ndio maana walichukua huku vigogo walishabeba kama inavyosemekana.
2: Kutokuonekana na kutokufahamika kwa majina kwa system ya bank kunatilia shaka na kuaminisha umma kuwa kweli yawezekana kabisa kuna majina ya vigogo.
3: Walioazamiwa Jana watakuwa wameonewa sana tu kama kuna vigogo walilipwa kutumia stanbic bank na pesa inaonekana na account zao lakn hawafahamiki
4: Huu si mwisho wa escrow inapaswa Maswi haojiwe na Takukuru usiwe mtindo kama ule vile visenti akaachwa bila kuhojiwa kujua pesa ziko wapi?
5: Stanbic bank watoe tujue wale ni akina nani?

Yumo na #Obama ! we unataka watuletee EBOLA na sie?!!
 
Back
Top Bottom