Recent content by toll free

  1. T

    Alichofanya Rais Kikwete Australia ni sahihi?

    waache waende mpaka wajukuu wake MAANA Tumeshachoka hakuna namna nyingine
  2. T

    Taharuki Dar es Salaam: Abiria wajeruhiwa kwa kisu, mhusika auawa na wananchi

    umeambiwa usichome watu visu wewe ukawachoma utapigwa tu. maanake hakuna njia nyingine RIP mchoma visu
  3. T

    Zahara Muhidin Michuzi ajitosa viti maalum Tabora

    u-DC? du! hii kiboko mnayatoaga wapi a ya mavitu? kweli nimeamini kiswahili kinakua siku hadi siku inabidi yule babu kifimbo cheza afanye kazi sana
  4. T

    Kupwa, kujaa na kuhama kwa maji ya bahari

    mkuu naungana na wewe wengine humu wanajifanya kujua ila wanachojua jibe tu ila njia mpaka kupata jibu hakuna waskutishe tupo wengi tunaotaka kujua kama wewe ila ao Tm ujaendanda shule achana nao ushofu kauliza chochote hawakununulii Bado
  5. T

    Najuta kuzaliwa Tanzania

    sijaiona picha ila iyo mifano yako uliyotoa nimekubaliana nawewe
  6. T

    Huyu kijana wa jirani nimfanyeje? Kila msichana wa kazi wangu anampa mimba

    akijagundua wife nae kesha pigwa dog sijui atampa kesi gani tusubili matokeo
  7. T

    Tupo SamakiSamaki

    sifa za kijinga
  8. T

    Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

    Izo mamba ni toll free ndio sisi wapokeaji ukipiga uwe tayari kujieleza
  9. T

    Nina milioni 50 haina kazi

    Zigeuze toilet paper
  10. T

    BASATA kumvua taji miss Tanzania 2014 kwa kudanganya umri

    Walio zoea kuishi kwa uongo. Lisu kweli noma
  11. T

    Nyumba ya mil. 89/- yamtatiza DC

    Wizi mtupu
  12. T

    VIDEO: Uhuru Kenyatta alipokutana na Wakenya V/S Kikwete alipokutana na watanzania

    Uyu jamaa wa kenya natamani hata angekua raisi wetu maana auchoki hata kumsikiliza anachosema yuko vizuri kwa watu wake. Ila uyu msanii wetu kazi ipo
Back
Top Bottom