Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Habari ndugu.
Poleni na majukumu ya kila siku na misukosuko ya kisiasa inayoendelea haswa kipigo cha mzee Warioba.
Napenda kuwapa taarifa njema kuwa baada ya masaa machache nitasaini mkataba wa biashara utakaonifanya kuwa bilionea wa kwanza wa JF.
Hii ni habari njema sana kwangu na kwenu pia.
Tutaendelea kuwa pamoja.
Poleni na majukumu ya kila siku na misukosuko ya kisiasa inayoendelea haswa kipigo cha mzee Warioba.
Napenda kuwapa taarifa njema kuwa baada ya masaa machache nitasaini mkataba wa biashara utakaonifanya kuwa bilionea wa kwanza wa JF.
Hii ni habari njema sana kwangu na kwenu pia.
Tutaendelea kuwa pamoja.