Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

I think based on logic of omnipotent, omnipresent na omniscient ni sawa kabisa kuwa Mungu anapanga na anajua kila kinachotokea kwenye maisha ya Binadamu. Kama yeye ndiye source then ndiye anawajibika kwa hata kila nukta ya existence ya creation yake....

Thank you.

That is so self evident and logical.

Huwezi kusema mungu ni mjuzi wa yote, muweza wa yote, yupo pote , kauumba ulimwengu from nothing, halafu hapangii binadamu maisha.

Ukishasema mungu ndiye muumbaji wa binadamu tu ushasema mungu kampangia binadamu kuishi, as opposed to kutomuumba.

Mpaka hapo tu kashampangia binadamu maisha.

Hawa jamaa wanashangaza sana.
 
I think based on logic of omnipotent, omnipresent na omniscient ni sawa kabisa kuwa Mungu anapanga na anajua kila kinachotokea kwenye maisha ya Binadamu. Kama yeye ndiye source then ndiye anawajibika kwa hata kila nukta ya existence ya creation yake....
Hilo suala la Mungu kupanga umelitoa wapi?
 
Hilo suala la Mungu kupanga umelitoa wapi?

Ukishasema mungu kamuumba binadamu, basi mungu kampangia binadamu maisha.

Kwa maana hata hakumuuliza kama anataka kuishi ama hataki kuishi. Kamuumba tu.

Huwezi kusema mungu mjuzi wa yote, muweza yote, ambaye yupo pote kaumba ulimwengu from scratch, kaupa ulimwengu tabia na aheria zake, bila kumahirikisha binadamu, kamuumba binadamu, bila kumuuliza, halafu hajampangia maisha.
 
Ukishasema mungu kamuumba binadamu, basi mungu kampangia binadamu maisha.

Kwa maana hata hakumuuliza kama anataka kuishi ama hataki kuishi. Kamuumba tu.

Huwezi kusema mungu mjuzi wa yote, muweza yote, ambaye yupo pote kaumba ulimwengu from scratch, kaupa ulimwengu tabia na aheria zake, bila kumahirikisha binadamu, kamuumba binadamu, bila kumuuliza, halafu hajampangia maisha.
Ulishindwa kunielewa kwenye jambo dogo sana la mantiki,ni kitu gani kinakufanya udhani utaweza kunielewa nikufafanulia hili?
 
Ulishindwa kunielewa kwenye jambo dogo sana la mantiki,ni kitu gani kinakufanya udhani utaweza kunielewa nikufafanulia hili?

Ungeelewa mantiki ungeelewa kutolinganisha visivyolinganika.
 
Ungeelewa mantiki ungeelewa kutolinganisha visivyolinganika.

Kwasababu hukunielewa na kikubwa zaidi inaonekana hutaki kabisa kuelewa nililokuambia ndio maana unaendelea kufanya makosa yale yale

Nikikuambia sikulinganisha kati ya alietengeneza gari na aliyemuumba binadamu,wewe unakuja kudai nalinganisha hivyo,nadhani unaweza kujadiliana na mwingine kwenye hili na sio mimi kwasababu inaonekana mmoja anataka kufanya mjadala ambao tutaweza kujifunza pamoja na wingine yupo kwaajili ya kukataa tu

Ukitaka tujadiliane na tujifunze pamoja utaniambia!
 
Mbona watu mna guts za ajabu hivyo? Yaani namba unaambiwa ni ya majini halafu unaipiga? Mtakuja jikuta baharini nyie. Ila kwa imani ya ndugu zetu waislamu nasikia majini sio viumbe wabaya kama tunavyofikiria sisi, hata mi naona inaweza kuwa kweli.Inabidi watupe somo bana tusiwe tunaogopa sana mambo hayo.
 
Kwasababu hukunielewa na kikubwa zaidi inaonekana hutaki kabisa kuelewa nililokuambia ndio maana unaendelea kufanya makosa yale yale

Nikikuambia sikulinganisha kati ya alietengeneza gari na aliyemuumba binadamu,wewe unakuja kudai nalinganisha hivyo,nadhani unaweza kujadiliana na mwingine kwenye hili na sio mimi kwasababu inaonekana mmoja anataka kufanya mjadala ambao tutaweza kujifunza pamoja na wingine yupo kwaajili ya kukataa tu

Ukitaka tujadiliane na tujifunze pamoja utaniambia!

Unawezaje kulinganisha logic kati ya vitu ambavyo logic inakataza kuvilinganisha vyovyote?

Mungu wako ni sawa na mtengeneza gari?
 
Yapi hayo?

Specificity is king.

Hivi kuna mtu japo hata mmoja aliyewahi kukuelewa hayo unayoyazungumzaga(unayoyajua)?

Na je,unajua kwanini ktk kujadiliano kwako kote kwa muda mrefu lakini hakuna maarifa uliyopata ktk majadiliano yote hayo?
 
Unawezaje kulinganisha logic kati ya vitu ambavyo logic inakataza kuvilinganisha vyovyote?

Mungu wako ni sawa na mtengeneza gari?

Aiseeee ....

We jamaa ni hatari...!
 
Hivi kuna mtu japo hata mmoja aliyewahi kukuelewa hayo unayoyazungumzaga(unayoyajua)?

Na je,unajua kwanini ktk kujadiliano kwako kote kwa muda mrefu lakini hakuna maarifa uliyopata ktk majadiliano yote hayo?

Watu wengi sana tu wananielewa.

Mfano PlanckScale

Unajuaje kwamba hakuna maarifa niliyoyapata?
 
Last edited by a moderator:
Eiyer nafikiri Kiranga anachojaribu kukuelewesha ni kuwa mtengeneza magari sio source ya kile anachotengeneza, maana materials anachukua tu, so logic itakataa kuwa yeye ana uwezo na mamlaka juu ya hilo gari bali kwa Mungu logic yake inaeleza tofauti kabisa maana kama yeye ni muumba wa kila kitu, ina maana katengeneza kila kitu hadi katika detail ndogo udhaniavyo. Kwahiyo hizo ni logic mbili tofauti
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom