Watu wengi nikiwakopesha hawanilipi.si bora niruke zangu Dubai nikale bata?
we si umesema haina kazi? Hata dangote ana pesa nyng lakn cjawah kumskia akisema pesa haina kazi.
Watu wengi nikiwakopesha hawanilipi.si bora niruke zangu Dubai nikale bata?
Nikopeshe mm milion 1 maana nimekosa mkopo chuo,na uwezo wangu mdogo nikopeshe nitailipa taratibu
Watu wengi nikiwakopesha hawanilipi.si bora niruke zangu Dubai nikale bata?
we si umesema haina kazi? Hata dangote ana pesa nyng lakn cjawah kumskia akisema pesa haina kazi.
Ahahahhaah unazingua aseh.......
basi fanya biashara..
Nenda nje ya nchi kachukue mzgo wa nguo au viatu vya kike na kiume uje kuuza Tanzania kwa jumla au rejareja nadhani italipa sana
unaweza kwenda china au korea
.... Za duka au mtumba
au nenda china kachukue mzgo wa cm za mkononi uje kuuza Tanzania
hasa zile simu za watumiaji wa kipato cha kati na uuze kwa bei ambayo ni fair nadhan nayo inalipa sana.
Au nenda nje ya nchi kachukue vifaa vya pikipiki.. Magari n.k uje uuze Tanzania......... Nayo inalipa
AU nenda katka soko la hisa kanunue hisa za makampuni mbalimbali ili uweze kutengeneza faida.... Nadhan nayo inafaa kwa pesa isiyo na kazi sana
YOTE HAYA YANAWEZEKANA NA YATAKUPA FAIDA NZURI TU LA MSINGI KUJITUMA NA KUWA NA DISCIPLINE
ILA KAMA HAZINA KAZI KABISA BASI NENDA KAWEKE BANK KTK FIXED AKAUNT UPEWE GAWIO LA KILA MWEZI
mwsho mkuu niazime milion 5 Niboost biashara yangu ya mitumba within 3 months nakuridishia.
Umeingia kwenye shindano la kupata milioni 10. Ngoja niwasikie na wadau wengine
Mkuu
laki si pesa
Kuna Mradi ninao. Nimeshaufanyia utafiti zaidi ya mwaka sasa ni mradi mzuri sijawa na hela ya kuufanya
na bado watu hawajaugundua kabisa kwa utafiti wangu mpaka mwezi uliopita. Hauhitaji hela kubwa lakini unazalisha hela kubwa kwa mda mfupi yaani ndani ta miezi kumi tu.
Nakukaribisha Nikushirikishe. Naamini utaridhika nao kwa ajili ya kuuwekeza zaidi.
Karibu mkuu.
Tehhhhhhh tehhhhhhh kama kweli vile dahhh milion 10 kijana ingekuwa mzuka sana nahisi within 2 years ningefikia m. 100
instagramboy nakufahamu sana ndugu yangu toka kwenye jukwaa moja hivi kule..
Mi huwa naamini kuwa tuna uwezo mkubwa wa kufanya kazi ila bado bahati hazijatuangukia....
Bado Naamini kuna Siku Mungu atashusha bahati yetu.
Kasaidie wenye mazingira hatarishi/mahitaji
asante kwa ushauri wako.
Mkuu nimekuPM
Wape yatima milioni 6 tu.
Milioni 4 nunua vitanda vya hodi ya mama wajawazito. Hizo 40 saidia ndugu zako