Habari wadau.
Nashukuru Kwa wote mlio nijenga juu ya namna ya kuacha pombe nilipoomba USHAURI MWAKA 2022. Naelekea miaka 4 Sasa bila kunywa pombe Nilikuwa mlevi sanaaaaaaaaaaaaaaa wa pombe aina zote za dukani na kienyeji.
Nimelewa Toka 2010 mpaka 2022 nimeacha. Mali zimekwisha ila Mimi nipo...
Nadhani hii ni mimba ya kwanza kwenu.Kupika na kukaa Jirani na jiko hakuna tatizo hapo.Angalia maisha ya wajawazito kule Kijijini.wengi wanafanya kazi zote mpaka wakati wa kujifungua.Wapi wanaojifungua akiwa jikoni anapika,wapo wanajifungua wakiwa shamba pia.*Zingatia Clinic*
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.