Acha uongo!Mhukulu ipi inayompongeza huyo mtu?Kuanzia Likuyu fusi hadi huko unapopasema ww %80 watu wamejawa na hofu na kukata tamaa!Afadhali hata ya Jenister Mhagama.Anaonyesha uwezo binafsi wa kiuwakilishi na si huyo..... wako.
Kauli ya bwana mkubwa fulani alipokuwa anahutubia siku fulani ktk warsha fulani.
Alimaanisha wana kijiji,eti( kwa tafsiri isiyo rasmi)wanelewa kila kitu.Pengine alimaanisha wanatambua maendeleo ambayo awamu hii inayaleta kwao.
Niandikapo mada hii nipo huku kijijini kwetu, PUNI mkoa wa...
Wamemdaka! Ndiyo,ni huko Morogoro.
Msanii Ney wa mitego amekamatwa na Jeshi la polisi.Chanzo cha kukamatwa kwake hakijawekwa wazi hadi sasa.
Lkn wabashili wa mambo wanahusisha kukamatwa kwake na wimbo alioutoa hivi karibu ugusao moja kwa moja na mambo ya siasa.
Picha linaendelea.
Ndg zangu,UONGO ukisemwa na kuachwa bila kukanushwa hugeuka kuwa kweli.
Hivi karibuni,wapo baadhi ya viongozi wanaohubili na kuaminisha watu eti mauaji ya KIMBALI huko Rwanda,yalisababishwa na waandishi wa habari jambo ambalo si kweli!Mauji hayo yalisababishwa na wafanya-SIASA WALIOLEWA NA...
Brother,naikumbuka jumapili ya tarehe 6,Novemba 2014,uliniambia "MDA WA KUJITOA SADAKA KWA AJILI YA CHAMA,NI HUU.HAITAJALISHA NI LOWASA AU MWINGINE,LAZIMA CHAMA KIMUUNGE MKONO".Aliendelea kusema.." UJUE WATU WANAFIKIRI MM SIMPENDI EDWARD,SI KWELI!WANASAHAU EDWARD NI MWANA CCM MWENZANGU NA HATA...
Namnukuu;
"Dogo,ktk kufanya siasa,usiwe mfanya siasa MTAKA SIFA!Bali SIFA NDIYO IKUTAKE ww.SIFA ya siasa ikikutaka ww hata wafanye nini kamwe hawawezi kukufuta ktk kufanya siasa.
Hata wangetumia bulldozer kukufukia lkn madongo yale yatatawanywa na wengine ili tu ww uokoke kutokea kifusi kile."...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.