Siku si nyingi tutaungwa mkono na wanaccm kutokea ndani ya chama chao

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
127,939
244,527
Kwa hali ya mambo ilivyo ndani ya ccm , ni wazi kabisa kwamba wanachama wake wengi hawaridhishi na wanaburuzwa kama mzoga wa mnyama aliyefia katikati ya mji .

Siku zote binadamu hawezi kutendewa ubaya na akakaa tu kama zuzu , ni lazima uvumilivu utamshinda tu , zipo taarifa kwamba mbinu ya sasa si kuhama , bali ni kuhakikisha kwamba fito zinagombaniwa ndani kwa ndani , kwamba wasioridhika na yanayotendwa watatuunga mkono wakiwa humohumo .

Tulishasema tangu mapema , KUMPA UENYEKITI MTU AMBAYE HAKUWAHI HATA KUWA MJUMBE WA NYUMBA 10 ACHILIA MBALI KATIBU KATA , ni matatizo makubwa sana .


Sijawahi kuona kiongozi anayempuuza kila mtu akafanikiwa , huyu atakuwa wa kwanza
.
Mabadiliko namba 9 yaliyofanywa juzi Dodoma ndio kitanzi chenyewe .

Ni suala la muda tu .
 
Acha uongo wewe

JPM YUPO IMARA NA 2020 ANASHINDA KWA ASILIMIA NYINGI, WANANCHI TUMEMUELEWA.

HATA UCHAGUZ MDOGO JUZIJUZI MLIPIGA KELELE SANA

MKAPIGWA 20 KWA 1
 
Acha propaganda ambazo hazina tija.Hicho unachodhania hakitatokea kamwe.Rais anaweka Mambo sawa ila Kuna wachache ambao hawataki mambo yawe sawa ndiyo wanaojifanya watabiri wa anguko la CCM.
 
Kwa hali ya mambo ilivyo ndani ya ccm , ni wazi kabisa kwamba wanachama wake wengi hawaridhishi na wanaburuzwa kama mzoga wa mnyama aliyefia katikati ya mji .

Siku zote binadamu hawezi kutendewa ubaya na akakaa tu kama zuzu , ni lazima uvumilivu utamshinda tu , zipo taarifa kwamba mbinu ya sasa si kuhama , bali ni kuhakikisha kwamba fito zinagombaniwa ndani kwa ndani , kwamba wasioridhika na yanayotendwa watatuunga mkono wakiwa humohumo .

Tulishasema tangu mapema , KUMPA UENYEKITI MTU AMBAYE HAKUWAHI HATA KUWA MJUMBE WA NYUMBA 10 ACHILIA MBALI KATIBU KATA , ni matatizo makubwa sana .


Sijawahi kuona kiongozi anayempuuza kila mtu akafanikiwa , huyu atakuwa wa kwanza
.
Mabadiliko namba 9 yaliyofanywa juzi Dodoma ndio kitanzi chenyewe .

Ni suala la muda tu .
manvi hawatoshi?
 
Kwa hali ya mambo ilivyo ndani ya ccm , ni wazi kabisa kwamba wanachama wake wengi hawaridhishi na wanaburuzwa kama mzoga wa mnyama aliyefia katikati ya mji .

Siku zote binadamu hawezi kutendewa ubaya na akakaa tu kama zuzu , ni lazima uvumilivu utamshinda tu , zipo taarifa kwamba mbinu ya sasa si kuhama , bali ni kuhakikisha kwamba fito zinagombaniwa ndani kwa ndani , kwamba wasioridhika na yanayotendwa watatuunga mkono wakiwa humohumo .

Tulishasema tangu mapema , KUMPA UENYEKITI MTU AMBAYE HAKUWAHI HATA KUWA MJUMBE WA NYUMBA 10 ACHILIA MBALI KATIBU KATA , ni matatizo makubwa sana .


Sijawahi kuona kiongozi anayempuuza kila mtu akafanikiwa , huyu atakuwa wa kwanza
.
Mabadiliko namba 9 yaliyofanywa juzi Dodoma ndio kitanzi chenyewe .

Ni suala la muda tu .
DDDDD.JPG

wewe ACHA UCHAWI...unakumbuka huu ujinga wako hapo juu????
SASA tuambie una moral AUTHORITY IPI ya kuisema CCM vibaya???
ACHA UPUUZI DIKTETA ni MBOWE MNAE UKO...kama mtu kitu kidogo tu mna mpa NAJIMILIKISHA hapa nina maana ya kwamba kama MBOWE ameweza kujimilikish KATIBA ya CHAMA atashindwa vipi kujimilikisha katiba YA nchi?????
 
Na ndio maana najisikia faraja sana anapoacha kumtumbua Bashite!! Anapoacha kumtumbua Bashite; kinachohitajika na pumzi tu za watu kutorudi nyuma kuhusu uovu wa Bashite!!! Na uzuri ni kwamba, watu pumzi hazijawaisha kwa sababu Bashite mwenye ana uovu mwingi!!!

Kadri watu wanavyozidi kuanika uovu wake; ndipo wana-CCM wengi zaidi wanapozidi kufunguka macho na kuona wanae kiongozi asiyesimamia anachokihubiri!!!

Siku anaazimisha mwaka mmoja; wafuasi wake wakaanza vijembe wakiona bado JPM yupo pamoja nae!! Bashite mwenyewe akaanza kuota mapembe kwa mara nyingine!!! Kabla hajakaa vizuri; yakamfuata makombora mengine dabodabo!!

Kilichobaki kwa JPM ni kuambiwa na wenye nchi yao kwamba, kama unampenda sana Bashite mfanye awe meneja wa shamba lako binafsi au mwalimu wa tuition wa Jesca lakini sio kuharibu nchi na chama kwa ajili ya kumlinda Bashite!!!

Hivi sasa ameanza tena ku-post zile clips za mahubiri!!!!
 
Nape alisema hata kwa bao la mkono lazima ccm ishinde kingine unachoshindwa kuelewa ccm ni taasisi iliyojizatiti kikamilifu mifarakani midogomidogo ni changamoto tu za kawaida tu
 
Kwa hali ya mambo ilivyo ndani ya ccm , ni wazi kabisa kwamba wanachama wake wengi hawaridhishi na wanaburuzwa kama mzoga wa mnyama aliyefia katikati ya mji .

Siku zote binadamu hawezi kutendewa ubaya na akakaa tu kama zuzu , ni lazima uvumilivu utamshinda tu , zipo taarifa kwamba mbinu ya sasa si kuhama , bali ni kuhakikisha kwamba fito zinagombaniwa ndani kwa ndani , kwamba wasioridhika na yanayotendwa watatuunga mkono wakiwa humohumo .

Tulishasema tangu mapema , KUMPA UENYEKITI MTU AMBAYE HAKUWAHI HATA KUWA MJUMBE WA NYUMBA 10 ACHILIA MBALI KATIBU KATA , ni matatizo makubwa sana .


Sijawahi kuona kiongozi anayempuuza kila mtu akafanikiwa , huyu atakuwa wa kwanza
.
Mabadiliko namba 9 yaliyofanywa juzi Dodoma ndio kitanzi chenyewe .

Ni suala la muda tu .
Kinachoikumba ccm hivi sasa kwa kumkumbatia Makonda, ni sawa na kilichoikuta chadema 2015 mara baada ya kumpokea Lowassa.
Madhara yake yatasikika hadi ndani kabisa ya chama
 
Kwa hali ya mambo ilivyo ndani ya ccm , ni wazi kabisa kwamba wanachama wake wengi hawaridhishi na wanaburuzwa kama mzoga wa mnyama aliyefia katikati ya mji .

Siku zote binadamu hawezi kutendewa ubaya na akakaa tu kama zuzu , ni lazima uvumilivu utamshinda tu , zipo taarifa kwamba mbinu ya sasa si kuhama , bali ni kuhakikisha kwamba fito zinagombaniwa ndani kwa ndani , kwamba wasioridhika na yanayotendwa watatuunga mkono wakiwa humohumo .

Tulishasema tangu mapema , KUMPA UENYEKITI MTU AMBAYE HAKUWAHI HATA KUWA MJUMBE WA NYUMBA 10 ACHILIA MBALI KATIBU KATA , ni matatizo makubwa sana .


Sijawahi kuona kiongozi anayempuuza kila mtu akafanikiwa , huyu atakuwa wa kwanza
.
Mabadiliko namba 9 yaliyofanywa juzi Dodoma ndio kitanzi chenyewe .

Ni suala la muda tu .
kiongozi au nikuite ndugu yangu nahisi labda sisiemu huwajui vizuri...plz rudia chaguzi na hostoria yao....bora vyama vya upinzani vijipange kuimarika zaidi kwa 2020 na sio kusubiri "mkono uanguke kama fisi"....@understand politics
 
Kuelewa tunako elekea ni ngumu sana ila kuelewa sisasa ni kipao mbele cha watu ni raisi sana

Kujua dereva alie nipakie kwenye pikipiki ana leseni kunahitaji ujadili kuhoji ila ukimwamini kwa kuwa anakofia ngumu basi na wewe ni mharifu

Tanzania tunahitaji vitu vichache sana kujua kama ni kweli hii nchi ni yetu au inawenye nayo

1. Kuelimishwa japo wa kutuelimisha nae hayuko tayali
2. Kutimiza kwa vitendo japo hapa wasaliti no wengi sana
 
kiongozi au nikuite ndugu yangu nahisi labda sisiemu huwajui vizuri...plz rudia chaguzi na hostoria yao....bora vyama vya upinzani vijipange kuimarika zaidi kwa 2020 na sio kusubiri "mkono uanguke kama fisi"....@understand politics
Hujanielewa mahali fulani , hivi kwa haya yanayotendwa ndani ya ccm ni nani mwenye akili timamu anaweza kuyavumilia ?
 
Acha uongo wewe

JPM YUPO IMARA NA 2020 ANASHINDA KWA ASILIMIA NYINGI, WANANCHI TUMEMUELEWA.

HATA UCHAGUZ MDOGO JUZIJUZI MLIPIGA KELELE SANA

MKAPIGWA 20 KWA 1
Endelea kujidanganya , hakuna lenye mwanzo lililokosa mwisho .
 
Ni kweli Dalili zimeshaanza kuonekana, busara isipotumika chama hicho kitakuwa kama mti wa mwembe wenye maembe unaotikiswa na tembo, Je, unadhani kuna embe lolote litakalobakia mtini? Chukulia pia mfano wa chama cha KANU nchini Kenya kilivyokimbiwa enzi za Raisi Mtukufu Daniel Arap Moi na mustakabali wake sasa! Hakipo tena kimeshazikwa kwa zege zito. Hili ni fundisho la kutafakari kwa kina, ila mkiwa na Kiburi na Moyo mzito kama wa Farao wa Misri enzi za Musa, mnajua kilimtokea nini......Mfano mwingine jifunzeni pigano kati ya Daudi na Goliath!!!
 
View attachment 484247
wewe ACHA UCHAWI...unakumbuka huu ujinga wako hapo juu????
SASA tuambie una moral AUTHORITY IPI ya kuisema CCM vibaya???
ACHA UPUUZI DIKTETA ni MBOWE MNAE UKO...kama mtu kitu kidogo tu mna mpa NAJIMILIKISHA hapa nina maana ya kwamba kama MBOWE ameweza kujimilikish KATIBA ya CHAMA atashindwa vipi kujimilikisha katiba YA nchi?????
hhahahahaha nimecheka sana tena sana
 
Back
Top Bottom