Jicho la tatu: Nape keep CCM under pressure

Labda leo ndio kawa shujaa (kwa viwango vya ukawa), maana akili zenu mnazijua wenyewe!
Ni kweli kabisa kwetu sisi UKAWA, gamba likivua fikira za ugambani (yaani fikira mgando) kwetu ni ushindi na moja kwa moja tunaliona ni SHUJAA na siku hiyo tunacheza mdundiko kushangilia - ni hatua moja kuelekea ukombozi wa pili.
 
Kitendo alichofanyiwa Nape ni unajisi mkubwa wa uhuru kuongea na kinatakiwa kulaaniwa na watanzania wote sijajua ni nani kwasasa atakuwa na ubavu wa kulikemea ilo iwe ndani ya CCM au serikali hii. Na ningemshauri amfungulie kesi yule askari akiyemtolea Bastola.
 
Fanyeni kazi, muache udaku.

Mkulu mwenyewe alisema anaangalia SHILAWADU...akiwa namaana udaku wote wa mjini usio na maana kama jike shupe katoka na mwanamke mwenzie???...dan mtt wa mama katoka na nani???...kaoge mvuto yupo hoteli gan??? na yupo nan??? Sembuse huu wenye manufaa kwetu na wajukuu wetu!!!!
 
Fanyeni kazi, muache udaku.

Huwezi kufanya kazi bila uhuru. Huwezi kufanya kwa vitisho vya bunduki, huwezi kufanya kazi kwa kuonewa, huwezi kufanya kazi ikiwa kuna sheia mbili, moja ya kabwela na moja aliye karibu na Rais hii siyo Tanzania tuliyokuwa tukitegemea kutoka kwa Rais Magufulli
 
ujinga wa hawa watu wamesahau kama kazi aliyoifanya nape, kwasasa bado ana marafiki kuanzia baraza la mawaziri mpaka kwenye chama.......Kwahiyo akikaa pembeni figisu bado zitaendelea mpaka mwisho!Hao marafiki zake hawafutiki leo au keshoNjia nzuri ilikuwa kuzungumza na kumtoa huyu muhuni bashite
 
JK makundi yenu 2015 ndo yametufikisha hapa. Sasa mmebaki macho kodo,hata ushauri wenu hataki kuusikiliza.
 
Baada ya kutumbuliwa kwa Nape,
Alipata time ya kuongea na waandishi wahabari.

Lakini kabla ya kuongea tayari, wamiliki wa ukumbi alipotaka kufanyia press conferees walipigiwa simu na kutishwa na viongozi wa polisi.

Baadaye aliongelea akiwa juu ya gari, lakini kabla ya kuongea kuna mtu alimtishia bastola.

Nape analo la moyoni sana na moja ya kauli zake ni :-

"" MKONO WANGU UMEUMIA KWA SABABU YA CCM""

"" KWENYE KAMPENI MIMI NALALA PORINI USIKU WENGINE WAKO HIGH TABLE WANAKUNYWA BIA""

"" WAAMBIE MIMI MMAKONDE":-hii kauli ameshajua kwa ndio unautumika kwa makonda na magufuli kulindana'

MACHOZI YAMTOKA-KIKWETE BAADA YA NAPE KUTUMBULIW:

Hapa kuna tatizo kubwa sana JK anajua njia zilozutumika za kupata utawala huu akiwepo NAPE:

Ndipo Nape akasema alikuwepo Nyerere, kawawa,-hawa wameondoka na sisi tutaondoka, taifa hili tutaliachaje kama.............wanapindisha ukweli??

Inamaana MAGUFULI+MAKONDA wataondoka na wao kama wengine!!!

b897c51ccff5006113710af223f6b09e.jpg

Hapa msituni ndipo CCM ilivyo sasa hivi uwaoni watu wamepoteana, kinacho sikika hapa msituni sauti za ndege tu.

Nape anajua njia ya kuingia kwenye huu msitu ulipo,
Ndio maana ameanza kutafutwa.

Ngoja tusubir nini kitatokea kwenye huu msitu.
Siyo wasukuma wote ni wajinga.
 
Shemeji Yake alikuwa ikulu mhula uliopita ....jiran Yake Mmakua alikuwa IKULU ...sasa kaingia wadakama ....."Mwambie mm mmakonde"
 
Wanalumbana kipindi ichi ikifika karibu na uchaguz wote ni ccm lao moja wanawake wapewa kanga vitenge kofia na wanaume wanapiga ngoma na bia wakikata viuno "mkandamizaji" anapatikatina tunaanza tena kulalamik km saiv... watz mbumbumbu hawana ila kupenda ubwete na udaku
 
Back
Top Bottom