Zaidi ya asilimia 95 ya watanzania wanazungumza kwa ufasaha lugha ya kiswahili, huku watanzania wanaozungumza kwa ufasaha lugha ya kiingereza ikiwa ni chini ya asilimia 20 tu.Sasa fikiria hii, umewahi kujiuliza kwa nini kuna utitiri wa mabango elekezi na mabango biashara yaliyoandikwa kwa...
Inachukua wiki tatu hadi mwezi na wiki kadhaa kuendana na idadi ya maombi ya wakati huo....hakikisha umeorodhesha kila kitu wanachohitaji ha hata ukiwa na vya ziada inasaidia kama vyeti vya shule n.k
https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=https://m.youtube.com/watch%3Fv%3DyZqdUBpHmhM&ved=2ahUKEwjEvpW-vMLwAhX1URUIHTHoBQ4QwqsBegQIDRAB&usg=AOvVaw0eeP7BHtQF0nQiaxa2tHqW
Kuna hii documentary inaonesha raia qehnhbî26
Itumie hiyo kama chachu ya kuhangaika na kutafuta.....kama una kamtaji ingia karume asubuhi na mapema kadake viatu vya 3000...zungusha jioni uuze kuanzia elfu 5 hadi 7 usitake faida kubwa kwa kila kiatu we weka malengo ya kuuza pair kadhaa kwa siku....
Nilikuwa naangalia podcast ya joe rogan akawa anazungumzia jinsi wamarekani wanatumia madawa yanaitwa (DMT) ambayo yanawapa uwezo wa kuona na kuwasiliana na Aliens or UFOS....kitu kama hicho......pia hizo drugs nahisi zinatokana na marijuana.....vitu kama time travelling vinawezekana kwa...
Namuoa mfano wa youtubers maarufu wanaopiga hela....wengi wanafanya hivi
1. Review za vitu mbali mbali kama bidhaa, huduma n.k
2. Wengi wanasafiri kila kona ya nchi au dunia na kuonesha vitu vinavyoshangaza..
3. Kuna wanaoonesha vyakula mbalimbali vya maeneo tofauti na maandalizi yake
4. Prank...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.