mi wangu majanga niligundua amenisave jina la binti yetu nilichoka mpaka leo kaacha hilo hilo bado najiuliza anamaanisha nini nisaidieni namna ya kutatua issue hii. Ni mke wake wa ndoa kabsaaa tena tuna huu mwaka wa 15
wanaochokonoa pua haswa kwenye dala dala kisha wanapikicha uchafu wanatoa kwenye pua wala hawajali uchafu huo kama unakurukia...
wanaotema mate hovyo ukitaka kuona pita asubuhi mitaa yote ya posta, kariakoo (Dar) yaani ni makohozi matupu sijui kama TB zitakwisha.
Wanaopenda kudandia stori ama...
Pole sana, kuhusu hilo la polisi nadhani wataalam wa sheria watakusaidia kupata haki yako. Ila hilo la maji na mamlaka ya maji nakushauri peleka malalamiko yako EWURA wana utaratibu wa kushughulikia malalamiko ya huduma hizo unaweza kupata haki yako kwa upande huo ikiwemo kuchukuliwa hatua kwa...
wewe ulitaka wakishasoma awaweke nyumbani? chuki binafsi, kama hawana vigezo na hawakufuata taratibu hapo kuna walakini lakini kama utaratibu ulifuatwa sioni tatizo.
piga 0716 317715 huyu atakupikia hi home home next time utamtafuta tu aisee, ila inabidi utafute mavyombo ya kupakulia maana yeye ni mpishi tu uwe na mavyombo yako ya kupikia kama vile sufuria n.k ila utamtafuta tena narudia kwa msisitizo hutajuta.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.