Wanaume ni dhaifu na hawajiamini mbele ya wanawake...!

Wanaume ni dhaifu na hawajiamini mbele ya wanawake...!

Vipi kuhusu emotion stability???

vipi kuhusu intellect stability??

vipi kuhusu free will and will power stability??
 
Lakini mkuu hawa wenzetu ukiwa mkweli sana ujue humpati,uongo ni sanaa katika mapenzi...ila uwe wa kiasi
 
Husiombe ukakutana na mwanaume wa Kikurya, anatumia mabavu hata pasipohusika ilimuradi aonyeshe wanaume wake.
 
Utajiamini vipi mbele ya jambazi mwenye silaa? Wanawake wote ni sawa na majambazi wenye silaha kali, always ukiwa karibu nao lazma ukae mguu nje mguu ndani bana. Hawachelewi kuku kanumba hawa.
 
Kaka mkubwa nitarudi baadaye kidogo kuchangia mawili matatu...
 
Kwa dhana nzima ya kutokujiamini ni kweli kuwa mtu asiejiamini hutumia baadhi ya mambo uliyoainisha hapo juu
'
Lakini kwenye suala la mwanaume na mwanamke nimeshindwa kuipata point yako hasa iko wapi
'
Je,unazungumzia udhaifu wa kiafya wa mwanaume dhidi ya mwanamke?
'
Je,ni udhaifu wa baadhi ya wanaume wa kujiona hawajakamilika mpaka wawe na wanawake?
'
Kwenye suala la protection,wanawake mpaka leo wanahitaji jambo hili kutoka kwa mwanaume hata kama awe na mafanikio kiasi gani
'
Mkuu sijaielewa mada yako kabisa!
 
nilikuwa sijaelewa sasa nimeelewa na nimependa para hii: nimepaste "Ukiangalia maeneo mengine yote, mwanamke ndiye bora zaidi. Mwanamke huishi miaka mingi zaidi ya mwanaume (kati ya miaka mitano hadi kumi) na mwanamke huugua au kupata maradhi kidogo zaidi kuliko mwanaume. Wanaume wengi zaidi, kwa kiasi cha mara mbili zaidi hupata matatizo ya kiakili ukilinganisha na wanawake, huku idadi ya wanaume wanaojiuwa ikiwa kubwa zaidi kuliko ile ya wanawake."
 
unamaana gani unavyosema hivi: yaani sisi tuitaji ulinzi kutoka kwenu hata kidogo tuko strong woman na wala hatubabaishwi kamwe nimekakipaste hako kapara kako: Kwenye suala la protection,wanawake mpaka leo wanahitaji jambo hili kutoka kwa mwanaume hata kama awe na mafanikio kiasi gani
'
Mkuu sijaielewa mada yako kabisa!
Kwa dhana nzima ya kutokujiamini ni kweli kuwa mtu asiejiamini hutumia baadhi ya mambo uliyoainisha hapo juu
'
Lakini kwenye suala la mwanaume na mwanamke nimeshindwa kuipata point yako hasa iko wapi
'
Je,unazungumzia udhaifu wa kiafya wa mwanaume dhidi ya mwanamke?
'
Je,ni udhaifu wa baadhi ya wanaume wa kujiona hawajakamilika mpaka wawe na wanawake?
'
Kwenye suala la protection,wanawake mpaka leo wanahitaji jambo hili kutoka kwa mwanaume hata kama awe na mafanikio kiasi gani
'
Mkuu sijaielewa mada yako kabisa!
 

wadada wenye pesa zao ndo kabisaaaa, kila siku majanga, wakaka hawana guts za kuwatokea na kuishi nao kwa commitment, labda kwa siku kadhaa na kuchuna pesa zao, wanahisi watanyanyaswa....... huku ni kutokujiamini kwa high degree.....


enyi me........ni kwanini mnaogopa wadada walioko vizuri kiuchumi?
mnatoa wapi hiyo dhana kwamba mtanyanyaswa nk.
kwa nini?

babu Asprin hommie Kaizer na monaco ozzbend sosoliso broda Mentor dr watu8 nguli Eiyer na kiwatengu
shemeji Nicas Mtei Arushaone Filipo etal ninini eti?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Na mimi niseme kitu hapa!
In theory ni kweli w/me ni dhaifu ukilinganisha na w/ke, lakin in practicle w/ke ni dhaifu, wacha nichambue hapa; kama Mtambuzi alivyoelezea, kuwa aliechini hupigana kwa kila hali ili awe juu, na ndio w/me wanavyofanya kuficha huo udhaifu wao, japokua Mtambuzi amesema w/me hutumia mabavu kuficha udhaifu huo, na kweli huo udhaifu unafichika, kiasi kwamba w/ke wenyewe wanajiona wao ndio dhaifu, hadi wengine baada ya kuona hii thread ya Mtambuzi ndio wanatambua kama w/me ni dhaifu kuliko wao, hapa tunaconclude TAJIRI NI TAJIRI HATA KAMA ALITUMIA NJIA ZA HARAMU KUUPATA HUO UTAJIRI.
Kwa upande wa pili mbona hata maandiko yanaelezea M/me ni kiongozi wa w/ke? Eg: Qur-an.
So, in theory w/ke wako juu lakini in practicle Majembe tuko juu!
 
Back
Top Bottom