my life is meaningless

my life is meaningless

mimi niliona mapema, anajibu za kidhungu tu, nikahisi hajui kiswahili....
labda tumwombe kakako/mumeo? The Boss aje akusaidie kutafsitri, maana naona yeye kimetoka

Hahahaha, tena ngoja nimake hii clear maana si wewe tu hata mlongo wako snowhite anachanganyikiwa na uhusiano wangu na the big boss in the big bass ( The Boss ); huyu ni kaka, lakini he is just too good and 'you know what l mean' to be just kaka; maana tulikuwa tunajikuta tunaoneana wivu. so baada ya kujitafakari na kwa msaada wa kaka mwingine KIKUNGU tukakubaliana tuende mbele zaidi. So kwa kinyamwezi we are very right, maana wanasema kaka yako ni mume wa maisha.
So no matter where l go or where he goes we can always find each other; so ni sawa na open marriage na ndio maana Kikungu alisisitiza niwe mkewe wa wakati wa raha tu, shida zikianza naweza ondoka na kwenda kungine; na yeye akiniona sio sexy any more anaweza tafuta kidada kingine lakini we can always come back to each other.

So this is the arrangement!
 
Hahahaha, tena ngoja nimake hii clear maana si wewe tu hata mlongo wako snowhite anachanganyikiwa na uhusiano wangu na the big boss in the big bass ( The Boss ); huyu ni kaka, lakini he is just too good and 'you know what l mean' to be just kaka; maana tulikuwa tunajikuta tunaoneana wivu. so baada ya kujitafakari na kwa msaada wa kaka mwingine KIKUNGU tukakubaliana tuende mbele zaidi. So kwa kinyamwezi we are very right, maana wanasema kaka yako ni mume wa maisha.
So no matter where l go or where he goes we can always find each other; so ni sawa na open marriage na ndio maana Kikungu alisisitiza niwe mkewe wa wakati wa raha tu, shida zikianza naweza ondoka na kwenda kungine; na yeye akiniona sio sexy any more anaweza tafuta kidada kingine lakini we can always come back to each other.

So this is the arrangement!


A very good arrangement lol
 
Hahahaha, tena ngoja nimake hii clear maana si wewe tu hata mlongo wako snowhite anachanganyikiwa na uhusiano wangu na the big boss in the big bass ( The Boss ); huyu ni kaka, lakini he is just too good and 'you know what l mean' to be just kaka; maana tulikuwa tunajikuta tunaoneana wivu. so baada ya kujitafakari na kwa msaada wa kaka mwingine KIKUNGU tukakubaliana tuende mbele zaidi. So kwa kinyamwezi we are very right, maana wanasema kaka yako ni mume wa maisha.
So no matter where l go or where he goes we can always find each other; so ni sawa na open marriage na ndio maana Kikungu alisisitiza niwe mkewe wa wakati wa raha tu, shida zikianza naweza ondoka na kwenda kungine; na yeye akiniona sio sexy any more anaweza tafuta kidada kingine lakini we can always come back to each other.

So this is the arrangement!
ha haa, nimeipenda hiyo arrangement yenu rafiki......
 
ha haa, nimeipenda hiyo arrangement yenu rafiki......

hahaha hopefully and gugu will learn something too. (nimejitahidi kizungu alichonifundisha kiddo baada ya kutoka english medium school) LOL
 
Last edited by a moderator:
hahaha hopefully and gugu will learn something too. (nimejitahidi kizungu alichonifundisha kiddo baada ya kutoka english medium school) LOL
nimeona mwenzangu....
kumbe man in the house????? msalimu sana jamani.......
 
Its ma house the terrible thing I knw he will come again

Easy..file for divorce...rent a house somewhere n get a restraining order...the house will still remain urs..unless u still love him
 
nimeona mwenzangu....
kumbe man in the house????? msalimu sana jamani.......

Nitampa salamu, yaani it is so funny the way tunavyoishi now me and him and no househelp; so nimepangiwa glass ninayonywea maji asubuhi ni hiyo hiyo mpaka usiku ili kusiwe na vyombo vingi vya kuosha. it is real fun, nitakupigia later uongee naye!
 
gugu pole sana, natamani kuongea na wewe just call me 0719 712050 kuanzia saa 12 jioni. Mi ni mama nimepitia zaidi ya hayo and I am okay now.
 
Nitampa salamu, yaani it is so funny the way tunavyoishi now me and him and no househelp; so nimepangiwa glass ninayonyea maji asubuhi ni hiyo hiyo mpaka usiku ili kusiwe na vyombo vingi vya kuosha. it is real fun, nitakupigia later uongee naye!
ha haaaaa, lol! Nitafurahi sana kumsikia my dear....
nimeipenda hiyo big brother yenu, lol! so sweet, inapendeza sometimes kutokuwa na crowd, attention inakuwa kwa each other tu.
 
ha haaaaa, lol! Nitafurahi sana kumsikia my dear....
nimeipenda hiyo big brother yenu, lol! so sweet, inapendeza sometimes kutokuwa na crowd, attention inakuwa kwa each other tu.
Na ndicho kitu anachofurahia zaidi; anasema "mama nilikuwa natamani nikuambie siku nyingi tuwe wenyewe tu lakini sikuwa na uhakika utaichukuliaje?"
Kuna cousin wake atatujoin in a couple of days so it will be to guys and only me; wataninyanyasaje?
 
Sioni sababu ya wewe kung'angania kwa huyo bwana huku ukijua jinsi anavyokutesa na kukunyanyasa cha msingi chukua vyako na mwanao kapange anza maisha upya..jiamini na jua utaweza.kuna wamama wangapi wanalea watoto wao kwa kuuza karanga na maandazi balabarani?
Kuwa mwanamke mwenye kujiamini na kujiweza sasa ukijiua huyo mwanao atamlea nani..ondoka na mwanao baada ya hapo atajua thamani yako kwake.kuachana na huyo bwana siyo mwisho wa maisha yako jua maisha bado yanaendelea na inakupasa upambane.
 
Na ndicho kitu anachofurahia zaidi; anasema "mama nilikuwa natamani nikuambie siku nyingi tuwe wenyewe tu lakini sikuwa na uhakika utaichukuliaje?"
Kuna cousin wake atatujoin in a couple of days so it will be to guys and only me; wataninyanyasaje?
ha haaa, hiyo inapendeza sana sana, na naona wao pia wanaenjoy kuwa na mama tu.
nawatamania sana....
nakuPM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom