Sala kabla ya tendo la ndoa...

Sala kabla ya tendo la ndoa...

Mkuu tule tupichu twa tukamba hatuna umri wa kuvaa. Kuna siku nilikuwa duka moja mitaa ya Posta akaingia mama mmoja mkubwa kiumri zaidi yangu tu akamaugiza mwenye duka, " nipe ule mzigo wangu wa kila siku". Nikashangaa muuzaji akimfungia uto tupichu twa kamba. Ikabidi nichekeleee kimoyo moyo tu, nikasema ama kweli fasheni haina umri.

Asa wewe! nimekuelewa ila tule tupichu si wanavaa wanawake? me dume bana!
 
^^
Tukiweka kando sala au maombi ya pamoja ktk familia hususani ya usiku,baba,mama,na watoto n.k Imeelezwa kuwa wanandoa au wapenzi tu wanapokuwa chumbani kwao Kabla ya kuvamia kitanda kwa ajili ya tendo la ndoa,,wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.
^^
Faida nyingine zinazotajwa ni pamoja na kuondoa kabisa tofauti ndogo ndogo ktk mahusiano yao kama juu ya watoto,pesa,na mengineyo.
^^
Nao wanasaikolojia Mc Grath na Gregoire N,wanasema kuwa tendo la ndoa hushikamana na akili zaidi hivyo linapounganishwa na imani bila shaka huleta matokeo mema.
Wao wanaenda mbali zaidi na kushauri mwanamke awe wa kwanza kuanzisha hoja hii kila kabla na baada ya tendo hili maana
"..Mwanamke humwona Mungu kama wa kuaminika zaidi na mahali pa kutafuta usalama,,lakini mwanaume humwelekea zaidi Mungu kwa kutumia akili yake..."
^^
Wana MMU sijui ni wangapi na akina nani wanaweza fanya hivi walau mfululizo kwa mwezi? Jaribu sasa pengine ugomvi na kutoridhishwa kutapungua au kuisha kabisa.
^^
kiwatengu unaonaje utaiweza na ulivyo na haraka
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha chezeiya muhemuko.....
hivi unakuwa unaomba kwa kusema maneno gani eti?
Mimi huwa naomba wakati ule wazungu wanakaribia kushuka, "Ooooh my Goooood thanks for this sweetest Papuchi never seen before. Oooooooh Goood I'm coming"

Hapo Mungu ndiyo anakuwa tayari kunipokea mtoto wake mtiifu kwa kazi nzuri niliyofanya.
 
Mimi huwa naomba wakati ule wazungu wanakaribia kushuka, "Ooooh my Goooood thanks for this sweetest Papuchi never seen before. Oooooooh Goood I'm coming"

Hapo Mungu ndiyo anakuwa tayari kunipokea mtoto wake mtiifu kwa kazi nzuri niliyofanya.

Mi nilivomuoga nikisikia hayo maneno nitahisi unataka kudanja ntakimbia......
 
Mi nilivomuoga nikisikia hayo maneno nitahisi unataka kudanja ntakimbia......
Hahahahaaaaaa. Umenikumbusha mbali sana mkuu, kuna siku nilitaka nikimbie nimuache totoz yangu chumbani, baada ya uona kiini cheusi cha macho sikioni. Kumbe yalikuwa manjonjo yake tu wakati anaisikilizia dushelele, nilipotoa tu akaamka spidi na kunizuia lakini mimi dushelele ilikuwa imeshalala doro kwa woga wa mada kesi. Ikabidi tuanze upya.
 
Niliwah kuandikaga hii kitu hapa mwaka jana ngoja niutafute ule uzi. nakumbuka mwanagu Ronn M aliweka maneno mazuri pale ya sala.

ukweli ni kwamba its good to pray before and after doing anything.
 
Last edited by a moderator:
huwa napenda sana post zako ccta.
Leo umenichekesha had nimelia .
Napiga picha cjui ndo sahan zinakuwa mezan na chakula kishafunuliwa, mmm hiz sara zinakuwa za kimwil na si kiroho.
Thanx SNOWHITE you made my day

enjoy mwaya !
yani hiyo picha usiipige kabisa dadako ntakavokuwa natafuta maombi wakati huo huo na dekoda ndo inasoma FULL SIGNAL!ah huyu Himidini bana anataka kunambiaje sijui!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom