Recent content by THOTHOLITHO

  1. THOTHOLITHO

    Dar es Salaam kuna Vijana wakarimu sana yani sana!

    Ni wakarimu sana mkuu. Na utafurahi zaidi mtakapofika huko anakokupeleka pale utakapompa asante na yeye kukupa pole kwa safari na 5,000 juu
  2. THOTHOLITHO

    Natafuta kazi yoyote

    Utakuwa na BSc in ALL Profesional Studies.Hongera sana. Ulisoma nchi gani na chuo gani mkuu
  3. THOTHOLITHO

    FFU Manyara leo kuna nini Mbona hivyo?

    ahaaaaaaaa. Si unaona mateke na ngumi za hewani hizo mkuu. Eti baada ya hapo unapewa kabelt. Na ka belt kwako eti home unafuga mbwa. Lala mlango wazi.
  4. THOTHOLITHO

    FFU Manyara leo kuna nini Mbona hivyo?

    Black Belt. Black Belt...Hiyo miiko mliyopewa ni changa la macho maana hizo mnazoita MBINU HATARI za kufikirika mkirusha ngumi na mateke hewani au kuchezeshana mbinu nikimaanisha unarusha ngumi au teke alafu mwenzako anapangua. Kuna wenzako na tu belt twao wanapigwa na masela kitaa!
  5. THOTHOLITHO

    Msaada tafadhali: Jiwe hili lina madini yoyote au ni jiwe la kawaida tu?

    Kinachotofautisha ni THAMANI YAKE SOKONI. Mawe,kokoto,mchanga yote ni MADINI mkuu. Peleka kipande kidogo kwa wataalamu wa MADINI watakujulisha umeokota nini. Isije kuwa umeokota MAJINI mkuu Pole kwa kuokotaokota vitu ovyo ovyo. Si kila king'aacho ni........
  6. THOTHOLITHO

    Ipi dawa ya kuzuia kipara

    JIKUBALI kwa na wewe unaingia kwenye hiyo 30%. Kwani nani alikuambia kuwa kipara ni ugonjwa hadi uanze kutafuta dawa? Ndio utakuta mtu jumapili hadi jupili mtu nywele hazionekani kisa kipara.
  7. THOTHOLITHO

    Natafuta Mwanamke Mzuri

    Mkuu ningekupa ushauri mzuri tu kuhusiana na mada yako tatizo lugha ndio inanipiga chenga. Sijaelewa chochote zaidi la neno la mwishoThank you.
  8. THOTHOLITHO

    Ajira za Afya TAMISEMI

    NOVEMBA
  9. THOTHOLITHO

    Nimeng'atwa na mbwa, nahitaji huduma ya kwanza

    Bweka kama mbwa mara 100 kwa muda wa siku 3 utakuwa umepona kabisa
  10. THOTHOLITHO

    IPI COARSE NZURI KATI YA HIZI

    "COARSE" Inabidi ushauri wangu uanze na uandishi wa hili neno. Mkuu una mgogoro na malkia???
  11. THOTHOLITHO

    Amechaguliwa Bachelor of Science in Nursing, wanajamvi mnisaidie kujibu maswali haya.

    Hili ndilo tatizo la kuomba ushauri wa mtu aliyekata tamaa Mkuu umeomba ushauri kwa Muuguzi mwenye cheti ambaye anaweza kuwa ni Nurse Attendant BSc Nursing akimaliza ajira yake iko wazi. Title ni Nursing Officer. Nitaendelea na ushauri wakati mwingine ngoja nimalizie K-vant yangu kwanza mkuu
  12. THOTHOLITHO

    Ushauri biashara ya kufyatua matofali

    Fyatua fedha mkuu
  13. THOTHOLITHO

    Ipi tofauti ya course hizi mbili?

    Hakuna tofauti hapo mkuu ni mpangilio wa maneno tu kuhusu COMPUTER. Hiyo yenye kaneno Engineering itakusaidia maana utajinadi kama Engineer Klaus9 hivyo itakusaidia kupata ubunge wa kuteuliwa kama sio uwaziri kabisa
Back
Top Bottom