Black Belt. Black Belt...Hiyo miiko mliyopewa ni changa la macho maana hizo mnazoita MBINU HATARI za kufikirika mkirusha ngumi na mateke hewani au kuchezeshana mbinu nikimaanisha unarusha ngumi au teke alafu mwenzako anapangua. Kuna wenzako na tu belt twao wanapigwa na masela kitaa!
Kinachotofautisha ni THAMANI YAKE SOKONI. Mawe,kokoto,mchanga yote ni MADINI mkuu. Peleka kipande kidogo kwa wataalamu wa MADINI watakujulisha umeokota nini.
Isije kuwa umeokota MAJINI mkuu
Pole kwa kuokotaokota vitu ovyo ovyo. Si kila king'aacho ni........
JIKUBALI kwa na wewe unaingia kwenye hiyo 30%. Kwani nani alikuambia kuwa kipara ni ugonjwa hadi uanze kutafuta dawa?
Ndio utakuta mtu jumapili hadi jupili mtu nywele hazionekani kisa kipara.
Hili ndilo tatizo la kuomba ushauri wa mtu aliyekata tamaa
Mkuu umeomba ushauri kwa Muuguzi mwenye cheti ambaye anaweza kuwa ni Nurse Attendant
BSc Nursing akimaliza ajira yake iko wazi. Title ni Nursing Officer. Nitaendelea na ushauri wakati mwingine ngoja nimalizie K-vant yangu kwanza mkuu
Hakuna tofauti hapo mkuu ni mpangilio wa maneno tu kuhusu COMPUTER.
Hiyo yenye kaneno Engineering itakusaidia maana utajinadi kama Engineer Klaus9 hivyo itakusaidia kupata ubunge wa kuteuliwa kama sio uwaziri kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.