Huyo Ibrahimovich Cardabla ndiye mwanzilishi wakunena kwa lugha au ...?Maana nasikiaga walokole wakimtaja....Black belt za hapa kwenye keyboards au zipi hizo? Maana wenye Black belt huwa hawajitangazi lakini hutangazika wenyewe kama Ibrahimovich Cardabla, Rais Putin.
ahaaaaaaaa. Si unaona mateke na ngumi za hewani hizo mkuu. Eti baada ya hapo unapewa kabelt. Na ka belt kwako eti home unafuga mbwa. Lala mlango wazi.View attachment 1210602Siongeagi saaanaaa
Mimi nikiwaonaga tu nabadili njia