Ipi dawa ya kuzuia kipara

Ipi dawa ya kuzuia kipara

Usidanganywe na hawa waganga wa kienyeji sijui paka kitunguu mara koroga asali.

Procedure ya kidaktari ya uhakika ni kufanyiwa upandikizaji wa nywele ndani ya mizizi ya nywele!

Utasugua hilo bichwa na mavitunguu mpaka uote mapembe.

Cheap is expensive!
Mkuu hii ishu ikija bongo yamkini Bima nyingi itakataa kugharamia hii huduma.
 
Nywele zangu zinanyonyoka utosini na zinakuwa nyepesi...naona dalili za kipara wajomba zangu asilimia 30 wana vipara.

Sasa salon naponyoa kinyozi kanishauri nitumie mafuta ya mnyonyo yanazuia nywele kupotea...je kuna ukweli wowote...kama sio ni njia ipi ya kuzuia kipara

Aiseee

I can see

Tupo kwenye denial na genetics!

Mkuu kama mbumba zipo kafanye operation uoteshe mzigo!

I can feel your pain ma nigga!
 
Ukimanisha performance itakuwa poor ??
Dawa nzuri ya kuzuia kipara inashusha testosterone,so kupiga mzigo itakuwa shughuli kweli kweli..upo tayari kwa hilo??
Sexual performance is proportional to amount of Testosterone hormone available in the blood stream, Lowering testosterone will automatically turn your erectile function down.
I don't suggest that, tafuta dawa moja inaitwa "Minoxidil" itakusaidia mzee mwenzangu.
 
Ukimanisha performance itakuwa poor ?? Sexual performance is proportional to amount of Testosterone hormone available in the blood stream, Lowering testosterone will automatically turn your erectile function down.
I don't suggest that, tafuta dawa moja inaitwa "Minoxidil" itakusaidia mzee mwenzangu.
Mimi sijamshauri kwamba atumie..nimempa tu angalizo kuwa dawa nzuri ya kuzuia kipara inashusha testosterone
 
Mkuu vip matokeo umekubaliana na hali au umetumia dawa gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom