Recent content by Thorin Oakenshield

  1. Thorin Oakenshield

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mr Zumo - Usiku Usiingie
  2. Thorin Oakenshield

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Hivi huko kuna kuangalia mpira jamani??? wengine wadau wa EPL na VPL.
  3. Thorin Oakenshield

    MWANZA: Mkurugenzi wa Wilaya ya Misungwi afafanua kuhusu tuhuma za kumdhalilisha Mwalimu

    Huyu mkurugenzi naamini ni kweli alimwamuru mwalimu kudeki darasa maana kuna siku alikua na kikao na wakuu wa shule mbalimbali wilayani Misungwi na kuna waliochelewa kikaoni. Waliamriwa kusimama mwanzo hadi mwisho wa kikao na kikao kilipoisha waliagizwa kuanika barua ya maelezo kila mmoja na...
  4. Thorin Oakenshield

    Aliyempigisha ‘deki’ Mwalimu aigomea CWT

    Alikubali vipi kudeki kisa kaagizwa na mkurugenzi? Nahisi atakua ana vyeti feki huyo.
  5. Thorin Oakenshield

    Picha: ODAMA ndani ya DUBAI

    Me nilidhani nina tatizo la kisaikolojia aisee.
  6. Thorin Oakenshield

    Wale tuliosoma advanced physics

    Well said mate. Most students tend to cram without really understanding the concept behind. Moreover, they lack the proper imagination required to solve some problems. In my opinion, Physics is neither simple nor tough, it clearly depends on how one takes it.
  7. Thorin Oakenshield

    Wanaume wasiopumulia wenza wao wanaficha siri - Dr Chriss Mauki

    Duh! Fursa hii. Vinaitwaje hivyo vidonge mkuu?
  8. Thorin Oakenshield

    Wavulana; Kwanini tamaa ya kimwili inatutesa?

    Dawa ni moja tu, ukiona umetamani demu mtaani unaenda kukamatilia papuchi ya mama watoto huku unaimagine ndo yule demu sasa. Asikwambie mtu, kila siku utakua unamuona mama watoto mpya na ndoa itadumu.
  9. Thorin Oakenshield

    Wavulana; Kwanini tamaa ya kimwili inatutesa?

    Hizo zinaitwa nyege elekezi,,,hakuna anaeweza kuzicontrol, kama bei ya sukari vile au ada za shule binafsi.
  10. Thorin Oakenshield

    Inawezekana mkuu wa kaya anashaurika

    Nimewahi kusikia kutoka kwa watu wangu wa karibu, ndugu na jamaaa waliowahi kufanya kazi ama wanaofanya kazi kwa wahindi hadi hivi sasa kuwa, kama mfanyakazi ukionekana una mawazo chanya, mwenye akili nyingi, mjanja na mvumbuzi wa mambo kiasi ambacho unaweza kumshauri bosi nini mfanye kwa ajili...
  11. Thorin Oakenshield

    My all time best bongo fleva list

    Mbona anazo. Inasemekana ni mdogo wa Hardmad ila sina uhakika sana. Nyimbo zake solo ninazozifahamu ni: 1/. Fatma-Dibaji. (Prod. Marco Chali) 2/. Fatma Feat. Jay Moe-chozi la kusimuliwa. (Prod. Lamar) 3/. Fatma-Mwacheni atambe. (Prod. Lamar)
Back
Top Bottom