Recent content by themagainst

  1. themagainst

    Nahisi kama nimefikia hatua ya Kukata Tamaa kiwango cha Mwisho. Naomba msaada wenu Ndugu zanguni

    Hupaswi kulalamika,unazuia ubongo kufikiria.....kubali unayopitia umiza kichwa,anza upya ,shirikisha marafiki na ndugu wenye akili ....anza kidogo chochote utakachoweza.....
  2. themagainst

    Msaada: Mwenye ujuzi wa kuagiza gari, aina ya caldina

    Asante sana,pamoja sana.... je nikiiagiza kwa bei hyo huku nitaitoa bandarini kwa bei gani,mchanganuo wa bandarini cjaujua vzr
  3. themagainst

    Msaada: Mwenye ujuzi wa kuagiza gari, aina ya caldina

    Heri ya mwaka mpya 2016. Samahani msaada kwenye tuta, nina maswali machache; 1. Naomba kufahamu kuhusu magari aina ya Caldina uimara, gharama ya kuimudu, spare ,usalama, mafuta. n.k 2. Je kwa wenye uzoefu,gari hii nikiiagiza inauzwa dola 1400, ni ya mwaka 2007,ina cc 1790, imetembea km...
  4. themagainst

    Usiipite hii post tafadhali...hebu ichungulie

    Balaa,tafuta kazi wewe........
  5. themagainst

    kila mtu kwa kabila lake!!!

    Mwagona mwagona wasafwa
  6. themagainst

    Kwa malaya bila kinga

    Nenda hospital haraka watapima na kukupa arv za kuzuia,ndani ya masaa 72
  7. themagainst

    Mke wa mtu huyu

    Sina mbavu
  8. themagainst

    Mke wa mtu huyu

    dah sina mbavu mimi
  9. themagainst

    Kipindi cha mpito kuelekea kwenye utawala mwingine

    hakuna chama chenye hati miliki na nchi hii-esther wassira the great
  10. themagainst

    MAONI: Kama ningekuwa JK

    ningeacha kutabasamu
Back
Top Bottom