Kwa malaya bila kinga

Kwa kweli as ilikataa na uroho ndio ukakufanya uendelee huku ukijua unaiba na ni dhambi, ongea na Mungu akuepushe.

Eeeh I guess hautarudia tena.

Wahi kumsumulia ajue maana ni kichekesho, kwa sie wanawake haiumi hivyoooo ikiwa ni malaya fulani usiemjua kuliko kulaliwa na mtu unaemjua.

Confess na ukapime, si mkeo? una chances kubwa haukuupata si ilikuwa imeloa sio kavu? Hivi na busu ulimpa? Na kunyonya mawili pia? Niambie nijifunze michez+ yenu mibaya ya kuiba.
 
Weweee acha uongo kabisa. Ungekuwa umefanya kitendo hicho sasa hivi ungekua una- drive. pamoja na hayo ni ujinga wako kafie mbali umeyataka mwenyewe. Hata hizo mnaita kinga hazisaidii kitu....... kalaghabhahoooooooooo pusi weeeeeeeeeeeeeeeeeee

Mi nakushauri ujiue mapemaaa kabla hujaanza kuugua:behindsofa:

Ha ha ha ha ha ha mkuu umenikumbusha mbali sana mkuu...

Rest in peace mwanangu dia

wakati ukienda chukua huyo malaya mbona hukutuambia tukushauri!!!!!!!!!!nyambaf

Tuwe watu wakushauri na sio kutoa maneno makali na yakukatisha tamaa kiasi hiki.

Mwenzetu ni kweli ametambua kosa lake na ndio maana amerudi jamvini tumshauri, sidhani kama ni sahihi kufanya hivi.
 
Ahsanten kwa ushauri wenu nasubiri ikifika mwez wa sita nikapime ili nijue ukwel nikiwa mzima nitamtolea mungu sadaka ya shukran.
 
wana mmu naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.

matokeo ya form four umepata division ngapi??:a s 39:
 
Pole sana.ila usirudie tena.Chance ya kuupata ni 0.3%.Yaani ni kwamba kila wanaume 1000 ambayo wamekutana kimwili na wanawake wenye virusi vya ukimwi, ni watatu tu ndiyo wanaambukizwa.kwa hiyo unaweza kuwa kati ya hao watatu au wale 997 waliosalimika.ni mungu ndiye ajua kuhusu hali yako kwa sasa.subiri miezi mitatu upime, kwa kuwa hata ukienda hospitali muda huu kupima mambo bado hayajaiva
Wana MMU naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.
 
hivi huwa mnajua kuwa mbu anapomwuma mtu mwenye ngoma akashiba nusu akaruka kuja kumwuma mtu asiye nao ndani a dakika ile ile huwa anabeba virusi kwa yule asiyenavyo?? na anapomwuma ni kweli umwambukiza lakini maambikizi yale huwa ni madogo sana na huweza kuuiwa na kinga ya mwili mnajua hilo,jambo la muhimu hapo hata kama maambukizi yapo je ni kiasi gani kama ni kidogo sana basi hata kinga ya mwili inaweza ikacrush hayo maambukizi,ila kama hana mchubuko na uliingiza ndani nje mara 3 au 4 ukapiga na tangu home hukuwa na michubuko siyo rahisi kwa wewe kupata ia mwenye probability kubwa ya kupata hapo ni huyo dem mana yeye alikutana na watu wengi siku hiyo hata kama walitumia zana ni wazi kuna michubuko alikuwa nayo hivyo kama wewe ulikuwa nao tangu zamani bila kujijua ni rahisi kumwambukiza yeye kuliko yeye kukuambukiza wewe,mana hauna michubuko sasa vitapitia wapi mana vinahitaji damu viweze kuingia direct kwa wingi kama havijakutana na damu haviwezi kuishi kabisa vitakufa,hivyo usihofu sana cha muhimu ni kujichunguza michubuko wakati unajiosha je ulikuwa unasikia maumivu wakati maji yanapita sehemu kwenye mashine yako?? kama ni yes,basi poe sana,kama ni no mungu anaweza akakusaidia.ila usirudie tena.
 
Unajua kuna kitu kimoja wa2 hawajajua wale mademu wengi macd wa pale buguruni na hapa mjini huwaga ni wachawi wana dawa za kufanya mashine isisimame,ukifika naye chumbani cha kwanza anachodai ni hela ukishampa hela akaiweka mfukoni anavua nguo,kimiujiza mashine inagoma ukisha mlalia tu,halafu anaanza kukughasi fanya haraka,ukichelewa kidogo ananyanyuka anavaa nguo na kuondoka hela anachukua,anakwambia siyo yeye bali ni wewe ndio ulioshindwa kazi!!
ndio michezo yao hiyo mi marafiki zangu wengi waliniambia na nafikiri na wewe ulinasa kwa mtaalam mmoja wapo.
 
Wana MMU naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.

Utafiti ni kwamba malaya wengi wako safe zaidi ya wanandoa. Kwa uhakika kapime tu ili ujue kama umeukwaa au la!
Ongera sana kwa kula mbichi ya malaya,
Pole sana kwa kumsaliti mpenzi wako,
Naye huko aliko ujue kuwa yuko anamegwa na wengine,
MKO WANGAPI?
 
UKIMWI is very cheap product, yaani within 3-4 minutes u get one!
mungu akuepusha, omba sana bila shaka atakusikia, mkuu!
 
Wana MMU naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.
Hao wako safe sana kuliko wasichana wengine unaowafikiria kuwa safe, any way, labda huko kwetu, huku niliko katika kubeaba mabox wa aina hiyo wana afya njema na salama sana. Ila inafaa pia umwa,bie huyo mpenzi wako juu ya anguko lako na kuona jinsi ya kufanya.
 
kitu kingine wakati unapofanya mapenzi na mwanamke na umevaa kinga vizuri jua kabisa kondm huwa inashuka chini baada ya mda kidogo hivyo huwaga ni kichwa na sehemu ya juu ya uume ndo huwa imefunikwa na unapoingiza kuna sehemu pia huwa haijafunikwa na kondom huwa inaingia kwenye uuke ingawa si sana je sehemu hii ya juu ya uume, ambayo kndom haijafunika inapoingiaga kwenye uke je inamaana kuwa tayari umeambukizwa??
2:unapofanya mapenzi na dem ambaye anamaji mengi na umevaa kinga na yale maji yakaja mbaka huku juu kwenye mavuzi yako wakati umemlalia je unajuaje kuwa hauna vipele kwenye hizo nywele zako za chini ambavyo vimepasuka?? chukulia tu huyo mwanamke unayefanya naye hivyo siyo malaya ni demu wak mpya,je haujaupata na wewe?? kwa hiyo hapa nimetoa mifano tu ya wale wanaowacheka wenzao wakati wao wenyewe hata hawajapima,ukimwi kwa mwanamke kumwambukiza mwanaume ni mpaka kuwe na michubuko na si vinginevyo,jua kabisa unapovaa kondom muda wa kumaliza unaaongezeka na unatumia muda mrefu zaidi kuliko yule asiyetumia je wakati umevaa kndom umetumia dkka 30 kumaliza na maji ya mapovu toka kwa demu yamejaa kwenye mavuzi yako je unahisi vipi uko salama bado??
 
pole sana hiyo ni impact ya kupenda kutumia shortcut kutatua tatizo ulilonalo.
 
ukimwi mara nyingi unakuja pale mtu anasex na mpenzi wake anpokuwa amelewa na ametumia baadhi ya pombe vinavyomfanya achelewe ku pizz,na anapokuwa hajavaa kinga kwani huwa anatumia muda mrefu kupiga bao na demu huwa amechubuka sana na yeye pia kachubuka hapo ndiyo ngoma inapoenea lakini siyo kwa scenerio kama ya huyu jamaa ukijumlisha kama alikuwa hana michubuko,utakuta mwanaume anameza panadol ili kuzuia asipizz haraka ana-do na mpenzi wake muda mrefu bila kinga hapo michubuko itakuwa mingi sana ndio sehemu kama hizi ngoma huambukizwa sababu mtu anakuwa anatafuta goli a kwanza saa 1 tena bila kinga.
 
Mawazo na stress haziwezi kukupa jibu kuwa opo +ve au -ve,jifanye kama vile huja do hiyo ki2 japo ngumu kuimezea,ishi kwa amani na subira,na usirudie.
 
ahsanten wadau nimewaelewa sana hili ni janga sana nitapima ikipita miez mitatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom